Beatrice Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake kwamba ana fedha nyingi lakini hamsaidii mama yake

Beatrice Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake kwamba ana fedha nyingi lakini hamsaidii mama yake

Comment yako imenigusa sana. Pia mimi nina mdogo wangu ambaye hata ukitaka umsaidie inakuwa ngumu sana kwasababu yeye mwenyewe haelewi anataka nini.
Inaumiza alafu sasa watu baki wanakuwa ma-baba / mama washauri kwamba "msaidieni ndugu yenu"....na kwenye maisha unakutana na watu baki wengi wazuri unakuta mnapeana support, sasa ndo hapo ndio inapoonekana una support watu baki na si ndugu
 
Wengi mnamuona ni mpumbavu lakini si kweli yeye hapo anachoomba au anachotaka ni martha kumsaidia mama yake na sio kumsaidia yeye bali amsaidie mama yake

Inaumiza sana wewe unapambana kumsaidia mzazi wakati mmezaliwa wengi na mnajiweza wewe mmoja ndio unapambana uendelei wenzako wanajenga na kufanya kila aina ya starehee wewe pesa nguvu zote zinaishia kwa familia wasaidiane kumtuza mama yao
Aaache upumbavu kulia lia kwa watu ni upumbavu huyo Martha yumo humo? Si amfuate alipo? Aache kulia lia. Ni upumbavu.
 
Hakuna pesa za shetani ndugu Kugawa gawa pesa ni chanzo cha umasikini tafuta pesa kwa jasho lako tamu kuzitumia usililie pesa za mtu mwingine
Yeah sure mkuu.

Hakuna pesa za kishetani.

Ni waafrika wavivu na maskini wasiotaka kuhustle wenyewe wana tegemea pesa za watu.

Na wasipo pewa wanaanza kusema ni pesa za kishetani.
 
Acha tu niliwahi kuwa na ndugu yangu wa kuzaliwa kabisa mambo yake hayakuwa mazuri na unaumia kweli kuhusu hali yake na unatafuta namna ya kumsaidia lakini unakuta ana mambo mengi na hana clear vision ya nini anachofanya.....wananzengo wengine na ndugu wa kumulika na tochi kama wanalaumu kwa kushangaa kwanini hatumsaidii wakati mtu kila siku mnamwombea mafanikio ila mwenyewe yupo yupo mnaongea vizuri unashangaa anapotea anarudi baada ya mwezi
Tatizo la huyo ndugu yako wa kuzaliwa limetengenezwa na mzazi ..kama uamini niambie nije nikuulize maswali kisha nitakuambia tatizo lilianzia wapi na kwa nani na kwa sababu gani ...hata hiyo misahada mnayo mpa mnampa kwa wakati sahihi au ni sawa sawa na mzazi kumpa mtoto wake mil10 wakati tayari huyo mtoto amesha vulugikiwa au kesha kuwa teja au kesha kata tamaa ya maisha nk
 
Huyo mtoto ni familia ya Martha na huyo Beatrice ni ndugu yake


Lazima uelewe utofauti wa relatives na family .

Martha anaijali Sana familia yake Ila hayupo karibu na ndugu Ila angeonekana MTU wa ajabu endapo angeitelekeza familia yake na akawa karibu na ndugu.

Hivyo huyo mdogo wake Beatrice mwambie atengeneze familia yake ndo itamsaidia kesho na kesho kutwa.

Asililie undugu ambao huwa haupo.

Tofauti na hapo atenda kila madhabau analia.

Asilimia kubwa ya watu ikiwemo huyo Martha tumesaidiwa na watu ambao hatuwajui wala hatuna undugu nao hata chembe.

So tofautisheni Kati ya Family and relative

Familia ni muhimu zaidi ya relatives

So ukikuwa na ukawa MTU mzima una uamuzi wa kuanzisha familia

Huyo mtoto ni familia ya Martha na huyo Beatrice ni ndugu yake


Lazima uelewe utofauti wa relatives na family .

Martha anaijali Sana familia yake Ila hayupo karibu na ndugu Ila angeonekana MTU wa ajabu endapo angeitelekeza familia yake na akawa karibu na ndugu.

Hivyo huyo mdogo wake Beatrice mwambie atengeneze familia yake ndo itamsaidia kesho na kesho kutwa.

Asililie undugu ambao huwa haupo.

Tofauti na hapo atenda kila madhabau analia.

Asilimia kubwa ya watu ikiwemo huyo Martha tumesaidiwa na watu ambao hatuwajui wala hatuna undugu nao hata chembe.

So tofautisheni Kati ya Family and relative

Familia ni muhimu zaidi ya relatives

So ukikuwa na ukawa MTU mzima una uamuzi wa kuanzisha familia yako.
Sikiliza vizuri ile video ndio utoe maoni inaonesha hajasikiliza
Beatrice hajaongelea kuhusu kusaidiwa yeye Bali anamkumbusha dada Ake kuhusu mama yao,lkn pia kaongea kuwa huyo mtoto Joan sio mtoto wake Wala sio ndugu yao,sasa mzee wewe umesikiliza clip ipi?mpaka utoe ushauri huo?
 
Sikiliza vizuri ile video ndio utoe maoni inaonesha hajasikiliza
Beatrice hajaongelea kuhusu kusaidiwa yeye Bali anamkumbusha dada Ake kuhusu mama yao,lkn pia kaongea kuwa huyo mtoto Joan sio mtoto wake Wala sio ndugu yao,sasa mzee wewe umesikiliza clip ipi?mpaka utoe ushauri huo?
Wazazi wetu wa kiafrika wanashida Sana hasa kina mama,mchezaji mpira wa Togo Emanuel Adebayo alimfanyia vitu vyingi mama yake lakini bado hakuridhika akawa anaungana na wadogo zake Adebayo kumpiga hela tu mpaka jamaa akataka kujiua kwa msongo wa mawazo
 
Inaumiza alafu sasa watu baki wanakuwa ma-baba / mama washauri kwamba "msaidieni ndugu yenu"....na kwenye maisha unakutana na watu baki wengi wazuri unakuta mnapeana support, sasa ndo hapo ndio inapoonekana una support watu baki na si ndugu
Kwenye familia tutasaidiana na anayetaka kusaidiwa. Kama mtu hataki maendeleo tutabaki tu kuwa ndugu na kubaki kusaidiana vile vitu basic kama ndugu. Kwa mfano ndugu yako kakamatwa hutavumilia lazima utaenda kituoni kumtoa kwanza.
 
We nae tumia akili
Unavyomuona huyo beatrice ana akili??? Kwa alozungumza tu
Mi naona yuko sahihi, makanisani leo hasa ya kilokole waumini wanawafanya wachungaji, mitume manabii kama ndio wazazi wao na kuwasahau wazazi wao wa asili, wewe kama husali huko huwezi kuelewa na baadhi yao hubadili mpaka majina ya pili wanaweka ya baba zao wa kiroho na hii kimaandiko siyo sahihi.
 
Mi naona yuko sahihi, makanisani leo hasa ya kilokole waumini wanawafanya wachungaji, mitume manabii kama ndio wazazi wao na kuwasahau wazazi wao wa asili, wewe kama husali huko huwezi kuelewa na baadhi yao hubadili mpaka majina ya pili wanaweka ya baba zao wa kiroho na hii kimaandiko siyo sahihi.
Ameongea kwa wivu sana wamechangia baba tu iweje martha atunze mama wa kambo ni lazima?
 
Kumeanza kuchangamka 🤣 🤣 “Jina lake sio Joan mwaipaja bali ni Joan Martin Mkwizu na hizi hapa nipicha akiwa na Baba yake na Mama yake Mzazi kabla hajabadirisha wazazi”😂😂 Ameandika — Catherine octavian🙌🏻View attachment 3178978

Kumeanza kuchangamka 🤣 🤣 “Jina lake sio Joan mwaipaja bali ni Joan Martin Mkwizu na hizi hapa nipicha akiwa na Baba yake na Mama yake Mzazi kabla hajabadirisha wazazi”😂😂 Ameandika — Catherine octavian🙌🏻View attachment 3178978
Joan anawazazi wake inakuaje anabadili jina la Baba yake nakutumia jina la Mwaipaja mzazi wa Martha!
 
Mji mzito..kusagana, uchungaji, uimbaji nyimbo injili sjui, yote yanafanyika
 
I am doing fine my dearest sis friend. How about you?

Thanks a bunch mtakatifu Anne. Hunaga baya mama. 😊

Mwaka ushaelekea kibra. Nakutakia tamati njema ya mwaka huu.

-Kaveli-
Amen
Mungu akuvushe wewe, pamoja na wapendwa wako .
 
"Dada yangu anatembelea gari la million mia..."

Zengwe lilianzia hapo. 😎

-Kaveli-

Kauli hiyo ina reflect husuda kali alonayo Mdogo mtu kwa dada yake .

WAT-u mnaweza kuzaliwa tumbo moja lakini msipendane kwa dhati ya moyo , ikawepo husuda wivu hata kurogana na kuharibiana
Na kukwamishana
 
Back
Top Bottom