Apollo tyres
Senior Member
- Nov 16, 2024
- 109
- 286
Pia acheni uzinzi.Beyond repair; mnafikiri mkiwa mnamtaja Mungu na kumzihaki kwa kumtumikia shetani then mnageuka tu kirahisi na kurudi kwa Mungu?
Shetani sio kenge!
washauri wote tu waokoke upya, warudiane na waume zao maana wote kama hawana waume,wanalala na nani sasa? na bado wabichi? wakifanya hivyo hata kashfa za kusaganasagana hazitasikiwa.Nawaambia walokole na watu wote mnaopata Sana mikosi
Hakuna kitu kinarudisha nyuma Kama uzinzi .
Dhambi ya uzinzi inaondoa kibali na unabaki kuwa mtu wa kawaida ambaye hauna impact yoyote.
Beatrice Mwaipaja -uzinzi ndo umekufikisha hapo na sio huyo shetani wala mapepo .
Kupata kibali cha kupendwa na kukubalika lazima uwe msafi Sana au uwe mzee black kikweli kweli.
Na wadada wote mliokosa ndoa na mnaolalamika kukosa kibali acheni uzinzi . mtapata mnachokitafuta.
Umeongea pumba na majungu tu.Nawaambia walokole na watu wote mnaopata Sana mikosi
Hakuna kitu kinarudisha nyuma Kama uzinzi .
Dhambi ya uzinzi inaondoa kibali na unabaki kuwa mtu wa kawaida ambaye hauna impact yoyote.
Beatrice Mwaipaja -uzinzi ndo umekufikisha hapo na sio huyo shetani wala mapepo .
Kupata kibali cha kupendwa na kukubalika lazima uwe msafi Sana au uwe mzee black kikweli kweli.
Na wadada wote mliokosa ndoa na mnaolalamika kukosa kibali acheni uzinzi . mtapata mnachokitafuta.
Nani huyo??Ametoka kwenye ndoa kapendeza sana
Mtoto yupi huyo mkuu??Mwambie pia Martha mwaipaja aache kusagana na yule mtoto
Bila uzinzi, kuna watu wengi duniani wasingezaliwa.Nawaambia walokole na watu wote mnaopata Sana mikosi
Hakuna kitu kinarudisha nyuma Kama uzinzi .
Dhambi ya uzinzi inaondoa kibali na unabaki kuwa mtu wa kawaida ambaye hauna impact yoyote.
Beatrice Mwaipaja -uzinzi ndo umekufikisha hapo na sio huyo shetani wala mapepo .
Kupata kibali cha kupendwa na kukubalika lazima uwe msafi Sana au uwe mzee black kikweli kweli.
Na wadada wote mliokosa ndoa na mnaolalamika kukosa kibali acheni uzinzi . mtapata mnachokitafuta.
Aoelewe na nani sasa, aliyeweza kuachika akaolewa tena akaachika akaolewa tena ni marehemu Dida peke yakeNawaambia walokole na watu wote mnaopata Sana mikosi
Hakuna kitu kinarudisha nyuma Kama uzinzi .
Dhambi ya uzinzi inaondoa kibali na unabaki kuwa mtu wa kawaida ambaye hauna impact yoyote.
Beatrice Mwaipaja -uzinzi ndo umekufikisha hapo na sio huyo shetani wala mapepo .
Kupata kibali cha kupendwa na kukubalika lazima uwe msafi Sana au uwe mzee black kikweli kweli.
Na wadada wote mliokosa ndoa na mnaolalamika kukosa kibali acheni uzinzi . mtapata mnachokitafuta.