Beatrice Mwaipaja, ukitaka kupona tafuta mwanaume uolewe na uachane kabisa na uzinzi

Apollo tyres

Senior Member
Joined
Nov 16, 2024
Posts
109
Reaction score
286
Nawaambia walokole na watu wote mnaopata Sana mikosi

Hakuna kitu kinarudisha nyuma Kama uzinzi .

Dhambi ya uzinzi inaondoa kibali na unabaki kuwa mtu wa kawaida ambaye hauna impact yoyote.

Beatrice Mwaipaja -uzinzi ndo umekufikisha hapo na sio huyo shetani wala mapepo .

Kupata kibali cha kupendwa na kukubalika lazima uwe msafi Sana au uwe mzee black kikweli kweli.

Na wadada wote mliokosa ndoa na mnaolalamika kukosa kibali acheni uzinzi . mtapata mnachokitafuta.
 
washauri wote tu waokoke upya, warudiane na waume zao maana wote kama hawana waume,wanalala na nani sasa? na bado wabichi? wakifanya hivyo hata kashfa za kusaganasagana hazitasikiwa.
 
Umeongea pumba na majungu tu.
 
Bila uzinzi, kuna watu wengi duniani wasingezaliwa.
 
Aoelewe na nani sasa, aliyeweza kuachika akaolewa tena akaachika akaolewa tena ni marehemu Dida peke yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…