Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
MarthaNani huyo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MarthaNani huyo??
Dooh!! Kumbe ndoa zina fuja kwamaana hiyo??Martha
Anamkoboa binti mdogo, halafu anasema eti ni mwanaye aiseeMartha Mwaipaja mbona anasaga mabinti wadogo lakini anafanikiwa?
😂😂😂😂 Ila kweli aiseeBila uzinzi, kuna watu wengi duniani wasingezaliwa.
Wewe hupendi ngono?Hawa walokole na wanakwaya wa kisabato wengi wao wanapenda sana ngono.
Kiki za kipumbavu..achana nao..Mwaipaja ndio nani huyo?
Poa mkuu.Kiki za kipumbavu..achana nao..
Ya faraghani yanapofunuliwa upenuni😭Nawaambia walokole na watu wote mnaopata Sana mikosi
Hakuna kitu kinarudisha nyuma Kama uzinzi .
Dhambi ya uzinzi inaondoa kibali na unabaki kuwa mtu wa kawaida ambaye hauna impact yoyote.
Beatrice Mwaipaja -uzinzi ndo umekufikisha hapo na sio huyo shetani wala mapepo .
Kupata kibali cha kupendwa na kukubalika lazima uwe msafi Sana au uwe mzee black kikweli kweli.
Na wadada wote mliokosa ndoa na mnaolalamika kukosa kibali acheni uzinzi . mtapata mnachokitafuta.
Ana mzungumzia bittey na sio Martha.Ametoka kwenye ndoa kapendeza sana
Wote wawili kuna ngoma mpya wameziachia. Jua ni kali sana kitaa...Poa mkuu.
Ahaaa mim huyo bite nimemjua janaAna mzungumzia bittey na sio Martha.
Sasa Wasabato hapa tumeingiaje? Yaani watajwe Walokole halafu na sisi mtuhusishe kwenye huo uchafu? Sisi hatumooooo. 😂Hawa walokole na wanakwaya wa kisabato wengi wao wanapenda sana ngono.
Lazima kuna kitu "Special" alikuwa anawapa wanaume...Ndio maana akaolewa mara zote hizo......Aoelewe na nani sasa, aliyeweza kuachika akaolewa tena akaachika akaolewa tena ni marehemu Dida peke yake
kama kipi?Lazima kuna kitu "Special" alikuwa anawapa wanaume...Ndio maana akaolewa mara zote hizo......