Beatrice Mwaipaja

nikitaka nishangae yan ww wakuwa rohoni😂😂😂😂
🤣🤣Mkuu ni hii fake ID tu nakua comfortable sema ningeeendelea vle nlikuwa naishi home aisee ningekua upcoming bagonza, nlikuwa nasali vbya sana nlivobalehe nikajua Mombasa highway aisee upepo Kwa kiasi flan ulibadilika
 
🤣🤣Mkuu ni hii fake ID tu nakua comfortable sema ningeeendelea vle nlikuwa naishi home aisee ningekua upcoming bagonza, nlikuwa nasali vbya sana nlivobalehe nikajua Mombasa highway aisee upepo Kwa kiasi flan ulibadilika
Wengi tulikuwa hivo sema mbususu zimetuharibu, Na ukiijua kwel siku ukienda kinyume hata nafsi yako inakukataa huwez kusali, ukute na toto la kidigo lilikushow uhaini mkubwa,ukapewa hadi vya mwiko hutoboi😂😂
 
Fundi sana
 
Shetani anawajua walio wake, mpaka sasa baba mlezi wa kiimani kwa Gigy Money hapokei simu zetu.

Prophet Malisa anatakiwa ajibu swali hili...... "je Gigy Money aliokoka asubuhi jioni akarudi kwa shetani?"
Daah tumeonywa tusihukumu tusije tukahukumiwa sisi,ila daaaah gigy mlokole kazingua sana😅
 
Yuko wengi,sema Nini bado tuna Nguvu ya kuushinda ulimwengu,ni maamuzi tu
Mara nyingi tu nimeangukia kwenye dhambi na bado kuna mazingira naona kbs Mungu kanisaidia pakubwa sema ndo hvo siwezi leta nyuzi za shuhuda humu ila niwaambie naogelea kwenye neeema
 
Wengi tulikuwa hivo sema mbususu zimetuharibu, Na ukiijua kwel siku ukienda kinyume hata nafsi yako inakukataa huwez kusali, ukute na toto la kidigo lilikushow uhaini mkubwa,ukapewa hadi vya mwiko hutoboi😂😂
Nlivopiga show ya kwanza ile 🎶nimekufungulia Dunia kua unachotaka🎶 aiseee nlijuta kinoma naona kbs nshazingua parefu....sijui ni issue ya kisaikolojia mi natafsiri kiimani lkn namkumbuka kbs kulikuwa na intrinsic force inaniambia kbs usifanye lkn sasa nikiwaza majamaa zangu wanavosimulia utamu 🤔
 
Acha uongo Kila comment unareply wewe! Ingekuwa ni Chawa ungeshaachia page ya tatu tu.
Basi tufanye Mimi ndio Beatrice,na ukipitia kwenye Uzi wangu wa J Melody mi nitakuwa J melody,nikirudi Kwa Konde mi ndio Jeshi mwenyewe,na Uzi wangu wa Zuchu mi ndio Zuchu......hapo vipi?

By the way we unasikia uchungu gani Mimi Nike reply kwenye Uzi nilionzisha mwenyewe,?nimeanzisha Convo watu wakirespond mi nikimbie Nini Sasa?be Positive
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…