Ukimpa aki haribu hata taa au hata pancha ujue garama ni juu yako.
Hii inakera Sana.
Siwez Fanya ujinga huo.
Na bora uhusiano uishe
Naunga mkono hoja
√√√√√√√π√
Nashkuru sana mkuu,nilidhan niko peke yanguInahitaji moyo sana kumuazima mtu gari yako hasa kama unaipenda sana gari yako na unaitunza katika matunzo ya hali ya juu. Sifanyagi huo mchezo ni bora nikupe pesa ya uber/taxi uende uendako kuliko kukuazima gari yangu.
Nashkuru sana mkuu,nilidhan niko peke yangu
Kwani mkuu kwani Passo ni kiasi gani mchukulie yake Baby naye awe anatumwagia maji machafu sisi wa Tz 11Mkuu,mi ni m1 ya watu ambao nna his nna ugonjwa wa ku perfect vtu,yaan mim naweza nkakuonyesha simu yangu niliyotumia nkiwa form 6,na usiamin jins navyotunza vtu,..mi nna viatu vyangu vya first yr chuo had leo,ila sivivai etc etc,yaan mi ni mtunzaj wa vtu balaa,..nmerith kwa mama angu,..so nahis atabonda bonda gar,yaan siwez mkuu,...hii ni kutoka moyon,..bora awe dume ila sio mdada,tena unakuta hajaendesha gar ana mda so anajikumbushia kwenye ndinga uliyoitunza na ikatunzika.assee,hapana,si mim
Anatuona ss wakuda ila mkuda ni yeye anayehofia ndinga ila haofiii ukimwi .....kwa sababu umetuita wakuda utachangia mwenyewe
Kama promotion ya maisha vile how umesoma hadi chuo na mengineyo vipi hujapata kazi.Mkuu,mi ni m1 ya watu ambao nna his nna ugonjwa wa ku perfect vtu,yaan mim naweza nkakuonyesha simu yangu niliyotumia nkiwa form 6,na usiamin jins navyotunza vtu,..mi nna viatu vyangu vya first yr chuo had leo,ila sivivai etc etc,yaan mi ni mtunzaj wa vtu balaa,..nmerith kwa mama angu,..so nahis atabonda bonda gar,yaan siwez mkuu,...hii ni kutoka moyon,..bora awe dume ila sio mdada,tena unakuta hajaendesha gar ana mda so anajikumbushia kwenye ndinga uliyoitunza na ikatunzika.assee,hapana,si mim
Afu ikitokea kaharibu akija lazima ajichekeshe chekeshe[emoji28][emoji4][emoji28]Ukimpa aki haribu hata taa au hata pancha ujue garama ni juu yako.
Hii inakera Sana.
Siwez Fanya ujinga huo.
Na bora uhusiano uishe
Naunga mkono hoja
√√√√√√√π√
Umeona mkuu,na uchum huu saa hii alibonde zinitoke lak kadhaa ,hahah.hapana kwakwel,..bora anione kauzu tuu.fresh
Afu ikitokea kaharibu akija lazima ajichekeshe chekeshe[emoji28][emoji4][emoji28]
Inahitaji moyo sana kumuazima mtu gari yako hasa kama unaipenda sana gari yako na unaitunza katika matunzo ya hali ya juu. Sifanyagi huo mchezo ni bora nikupe pesa ya uber/taxi uende uendako kuliko kukuazima gari yangu.
Hahaaaa,mkuu umefikiria nje ya box.Jf kuna,kesho utakuta hii ID inaomba ada ya shule
Mwulize anaenda kumzungusha nani? Kwa masaa mangapi?Wakuu,niko katka mtihan mkubwa mno,...mi hua siwap madem zangu ndinga hata sku1,..na kwanza ni mara chache nmemskia dem anaomba ndinga kwangu,
Sasa nna huyu dem ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile,..leo ananambia anaomba ndinga,et yaan nakujikausha kote huko skuzote sjawai endesha gar yako,..kiukwel mim kuhusu swala la kumpa ndinga dem ni hua haiwezekan,bora nimpe dume mwenzangu,..na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu,..sio ushamba,ndo nilivyo,..namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana,.
Enz hzo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakin imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki,...sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1
Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.
Nihakikishie ya kwamba haukulewa wakati unaleta uzi ndiyo nitakushauri.Hahahah,nafuta kaul mkuu,nipe ushaur,naepukaje kikombe hik mkuu
Panama tu na Hali yako huko uliko. Tushirikishane swala Kama tunfanyeje siku ya MaandamanoWakuu,niko katka mtihan mkubwa mno,...mi hua siwap madem zangu ndinga hata sku1,..na kwanza ni mara chache nmemskia dem anaomba ndinga kwangu,
Sasa nna huyu dem ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile,..leo ananambia anaomba ndinga,et yaan nakujikausha kote huko skuzote sjawai endesha gar yako,..kiukwel mim kuhusu swala la kumpa ndinga dem ni hua haiwezekan,bora nimpe dume mwenzangu,..na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu,..sio ushamba,ndo nilivyo,..namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana,.
Enz hzo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakin imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki,...sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1
Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.