"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

Panama tu na Hali yako huko uliko. Tushirikishane swala Kama tunfanyeje siku ya Maandamano
Wenye akil hua hatuandaman maana inapotokea vita mali zetu na biashara tutaziweka wap..hahahhah
..
 
Mambo yote hayo ya kuona gari ni kila kitu mpaka tunaweka hadith zake ni hao TRA na makadilio yao makubwa kwa vitu vya kawaida tuu...gari hazina hata chasis tunazianzishia Uzi naamini maisha yanabadilika ipo siku yatakua ya kawaida tuu nakumbuka miaka ya nyuma nilipokua chalii nilienda ofisini kwa mama waliniambia tunapitia Computer room tuvue Viatu ila leo computer zimekua za kawaida na hatuvui Viatu tena sehemu zilipo...pia itakuja kwenye Magari yakiwa ya kawaida mtaazimana na hata uliempa umsumbui sumbui na Simu kwa sababu ni kitu cha kawaida...tutafika tuu huko...
Ndio had tufike mkuu.
 
Hyo gari aina gani isijekua IST mana prado hawez azima
Kwanza sipend prado,..hhhaha,..hii ni 18mil car bro,..hzo baby walker tulikua nazo miaka kadhaa nyuma sana,..hahhhaahah,..pole sana
 
Kwa dharau zako sikutaka hata nikushauri !!...Lakini nimegundua yaweza kuwa kuna mtu mwingine anashida kama yako!
[HASHTAG]#USHAURI[/HASHTAG]
Fungus tairi moja liweke uvunguni, hadi jumatatu ndipo ulifunge, halafu piga picha mrushie mwambie Fundi kaondoka na taili kuziba na simu yake haipatikan unamgonja arejeshe! Tena itapendeza zaidi ukimwambia kama anaweza pata tairi Kwa mda aje nalo afunge!..
HHahaha,nmecheka sana
 
We mkuda! Acha ushamba. Wewe hutoweza kuja kufanya biashara ya magari. Wenzako tunakamata Coaster ya milioni sabini na unamkabidhi dereva usiyemjua sembuse wewe kagari kako ka milioni saba ndio unakafanyia rohoo mbaaaya!
Ushasema gar ya biashara mjomba
 
Back
Top Bottom