Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaSasa kama una madinga si uumpe baby ndinga moja unalalama nini?
Kama una "themometa " pima. Hahahahaaa! Hangover mbaya sana.Nawee nihakikishie hujalewa hapo ulipoandika hii comment
Ndio had tufike mkuu.Mambo yote hayo ya kuona gari ni kila kitu mpaka tunaweka hadith zake ni hao TRA na makadilio yao makubwa kwa vitu vya kawaida tuu...gari hazina hata chasis tunazianzishia Uzi naamini maisha yanabadilika ipo siku yatakua ya kawaida tuu nakumbuka miaka ya nyuma nilipokua chalii nilienda ofisini kwa mama waliniambia tunapitia Computer room tuvue Viatu ila leo computer zimekua za kawaida na hatuvui Viatu tena sehemu zilipo...pia itakuja kwenye Magari yakiwa ya kawaida mtaazimana na hata uliempa umsumbui sumbui na Simu kwa sababu ni kitu cha kawaida...tutafika tuu huko...
Niazime vw golf yakoHii ni mtu na mtu. Watu kibao wanaazimana magari tena ya maana wanasafiri nayo. Ni vitu vya kawaida tu kwa wengine.
Si kweliToyota Lexus lx 570 ina thamani kubwa kuliko range velar.
Toyota Lexus lx 570 ina thamani kubwa kuliko range velar.
Ahahahahahahhhbkwa sababu umetuita wakuda utachangia mwenyewe
HHahaha,nmecheka sanaKwa dharau zako sikutaka hata nikushauri !!...Lakini nimegundua yaweza kuwa kuna mtu mwingine anashida kama yako!
[HASHTAG]#USHAURI[/HASHTAG]
Fungus tairi moja liweke uvunguni, hadi jumatatu ndipo ulifunge, halafu piga picha mrushie mwambie Fundi kaondoka na taili kuziba na simu yake haipatikan unamgonja arejeshe! Tena itapendeza zaidi ukimwambia kama anaweza pata tairi Kwa mda aje nalo afunge!..
Ushasema gar ya biashara mjombaWe mkuda! Acha ushamba. Wewe hutoweza kuja kufanya biashara ya magari. Wenzako tunakamata Coaster ya milioni sabini na unamkabidhi dereva usiyemjua sembuse wewe kagari kako ka milioni saba ndio unakafanyia rohoo mbaaaya!