"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

hivi mtu akikuvulia nguo maana yake anakuthamini... machangudoa je wanathamini wangapi? kabla hajanivulia nguo mimi na yeye ameshavulia wangapi,, je anawathamini wangapi?

kwenye swala la kuvuana nguo ni sababu za kibaiolojia.. isiwe kisingizio cha kupewa kila kitu.. kama ni rahisi na anapenda why asijinunulie .. kuna wanawake wangapi wanajinunulia magari kila siku.. why wao waweze yeye hasiweze na sio mlemavu ? mambo ya kuvuana nguo ni nyege zetu ke na me.. kiasi hata asingevua kwangu mimi angevua kwa mwingine tu

hiyo sababu ina mashiko kama amekuvulia kukupatia usichana wake wewe..
Unafikiri ni kila mtu anapenda ati asiwe na usafiri?! Wakati wake ukifika na yeye atanunua pia, naamini hata wewe hukuwa nalo mwanzoni ila muda ulifika ukanunua.

Changudoa ni tofauti na mpenzi wako na ndo maana ukasema ni chagudoa yeye yuko kazini. Ndo maana mleta mada hajasema ni changudoa! Na hakuna mwanamke anayemvulia mwanaume nguo eti juu ya starehe tuu yapite, yeye anajua wana malengo ya kuwa pamoja, sema wengi wenu ndo mnaona ni kwa starehe kama mleta mada hapa.

Ndio wapo wadada weeengi wenye usafiri lakini haikuja kwa mara moja lazima kujipanga na kujikusanya pia! Na yeye naamini kuna siku atatembelea usafiri wake! Kwa kipindi hiki ambacho hana amuazime
 
Sio swala thamani sisy..huyu mtu hata haja commit kwangu,soon anasepa au hata anataka ka gari kangu ka mkopo akamuone bebi wake huko..kuna masuala ya dharura hayo kama ndugu mnasaidiana ila vingine dada ngoja nijitahidi niache uchoyo.ila kwasasa bado
Kwani analipeleka wapi?! Si atarudisha ama?! Tatizo mnakuwa kwenye mahusiano mguu nje mguu ndani, ndo maana vilio haviishi. Sasa mpaka mshakulana mna miezi kadhaa mpo pamoja tena mtu anakuambia kabisaaa naenda sehemu fulani daaah!!! Sawa bwana
 
Kwani analipeleka wapi?! Si atarudisha ama?! Tatizo mnakuwa kwenye mahusiano mguu nje mguu ndani, ndo maana vilio haviishi. Sasa mpaka mshakulana mna miezi kadhaa mpo pamoja tena mtu anakuambia kabisaaa naenda sehemu fulani daaah!!! Sawa bwana
yaani sis ukitaka usiumie relationship za siku DO NOT COMMIT!hiyo mguu ndani mguu nje ndo pain killer yenyewe!nyie mkishajua mtu katua mabegi mnashikika basi??!!
 
Mkuu,mi ni m1 ya watu ambao nna his nna ugonjwa wa ku perfect vtu,yaan mim naweza nkakuonyesha simu yangu niliyotumia nkiwa form 6,na usiamin jins navyotunza vtu,..mi nna viatu vyangu vya first yr chuo had leo,ila sivivai etc etc,yaan mi ni mtunzaj wa vtu balaa,..nmerith kwa mama angu,..so nahis atabonda bonda gar,yaan siwez mkuu,...hii ni kutoka moyon,..bora awe dume ila sio mdada,tena unakuta hajaendesha gar ana mda so anajikumbushia kwenye ndinga uliyoitunza na ikatunzika.assee,hapana,si mim
hahaaaa mkuu unataka kuanzisha MUSEUM"""?
 
Jifunze kuwa na majibu mafupi yenye maana kamili, mfano juzi kati mama ako mdogo aliniambia nimkopeshe 150, jibu lake lilikuwa huwa sikopeshi wanawake. Ningekuwa wewe ningemwambia huwa simpi gari mwanamke PERIOD....
 
Mkuu,mi ni m1 ya watu ambao nna his nna ugonjwa wa ku perfect vtu,yaan mim naweza nkakuonyesha simu yangu niliyotumia nkiwa form 6,na usiamin jins navyotunza vtu,..mi nna viatu vyangu vya first yr chuo had leo,ila sivivai etc etc,yaan mi ni mtunzaj wa vtu balaa,..nmerith kwa mama angu,..so nahis atabonda bonda gar,yaan siwez mkuu,...hii ni kutoka moyon,..bora awe dume ila sio mdada,tena unakuta hajaendesha gar ana mda so anajikumbushia kwenye ndinga uliyoitunza na ikatunzika.assee,hapana,si mim
Hivyo ulivyoandika inaonyesha una matatizo.
Na hata kisaikolojia hauko poa....una vikompleksi flani vya kipuuzi.
 
hahaha mwambie akachukue la baba YAKE kama analo mamaeee""
Dinga haina hata scratch,kwa jins inavyopendwa,..sis watoto wakiume tunapenda magar,..ts our toys toka enz magar ya udongo,so mtu akishangaa navopenda ndinga yangu simwelew kabsa
 
Jifunze kuwa na majibu mafupi yenye maana kamili, mfano juzi kati mama ako mdogo aliniambia nimkopeshe 150, jibu lake lilikuwa huwa sikopeshi wanawake. Ningekuwa wewe ningemwambia huwa simpi gari mwanamke PERIOD....
Hahahah,nmecheka sana,blaza we nuks.[emoji23][emoji23]
 
Dinga haina hata scratch,kwa jins inavyopendwa,..sis watoto wakiume tunapenda magar,..ts our toys toka enz magar ya udongo,so mtu akishangaa navopenda ndinga yangu simwelew kabsa
kweli kwli aisee...hahaaa
 
Mkuu,mi ni m1 ya watu ambao nna his nna ugonjwa wa ku perfect vtu,yaan mim naweza nkakuonyesha simu yangu niliyotumia nkiwa form 6,na usiamin jins navyotunza vtu,..mi nna viatu vyangu vya first yr chuo had leo,ila sivivai etc etc,yaan mi ni mtunzaj wa vtu balaa,..nmerith kwa mama angu,..so nahis atabonda bonda gar,yaan siwez mkuu,...hii ni kutoka moyon,..bora awe dume ila sio mdada,tena unakuta hajaendesha gar ana mda so anajikumbushia kwenye ndinga uliyoitunza na ikatunzika.assee,hapana,si mim
Sasa si usimpe jamani,maana naona ushasema haupi sasa sijui tunatakiwa kushauri nini hapa
 
Back
Top Bottom