MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,929
- 3,710
J-MOE : Amani kwa kaka voda millionaire,waambie wadogo zako waache poda wale mmea.
LANGA(response) : Amani kwa kaka voda millionaire, mwambie mdogo wako aache ushoga na umbea.
LANGA(confession): Amani kwa kaka voda millionaire,mwambie Moe nimeacha kula poda pia sili mmea.
uyo kaka voda ni mtu anaishi????naomba kujuzwa