Behewa za SGR zaanza kuwasili nchini Tanzania

Kila uchafu wenu Kwa MAGUFULI acheni upumbavu mbwa nyie
kama ulimpenda sana ungekufa naye tu mzee, naona hutaki hata kukosoa wakati hata yeye mwenyewe alisema sio malaika. hakuwa malaika, kuna mazuri alifanya mengi, na mapungufu pia. usimwabudu sana kama alikuwa malaika. sote tulimpenda though tuliona mapungufu kadhaa ambayo lazima yasemwe ili yasijirudie kwa viongozi waliopo.
 
Yaani hata mimi nimewaza hivyo
Je tungeagiza chassis tu na body tukaungaunga kwetu tungeshindwa?

Mbona meli tunatengeneza
Hapo tutakuwa tunapigwa kwa kila kitu
Naaona hata shuka na mito inatoka China
sio meli tu, kuna mabasi mazuri kabisa yanasafiri kwenda mikoani, yana bodi nzuri tu kama hayohayo mabehewa, na mengine yanaweza kuzidi.
 
Hayo mabehewa sio ya SGR ni ya MGR(reli ya zamani) na kwa mtazamo sio ya umeme. Ya umeme yanakuwa na mkonga juu kwa ajiki ya contact ya umeme. SGR yetu ni ya umeme
 
Kaonjesha wa moo kafungashiwa wa mee
Baada ya kugugo tangu asubuhi nimeyakuta mabehewa ambayo mwaka 1968 niliyaona kweye jarida la burudani la Spear na Zoro crime busters wakiwa ndani ya treni wakipambana, mabehewa hayo hayana tofauti na haya.
 
Hayo mabehewa sio ya SGR ni ya MGR(reli ya zamani) na kwa mtazamo sio ya umeme. Ya umeme yanakuwa na mkonga juu kwa ajiki ya contact ya umeme. SGR yetu ni ya umeme
Kwahiyo ya mitumba na kunguni zake ni sawa tu! Bipi bei ni ya mpya au ya mitumba?
 
Eti Kishindo kingine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Rais akisoma comments hizi kwenye Uzi anaweza zimia.

Watz hawana shukurani[emoji1787][emoji1787]
 
Nimejikutà naaanza kuuchukia huuu mradi hata kabla haujaanza. Heri Muasisi wake JPM angekuwa hai tusingeona huu utumbo
 
Nimejikutà naaanza kuuchukia huuu mradi hata kabla haujaanza. Heri Muasisi wake JPM angekuwa hai tusingeona huu utumbo
Kiukweli hata mimi nimejikuta nauona huu mradi nimzigo ambao hauna faida yaani maana yake tu tunapoteza hela tu angalau wangeshusha bei ya mafuta tu
 
Behewa 14 za SGR zimeanza kuwasili nchini Tanzania kutoka nchini Korea View attachment 2424514
Kwa jinsi nilivyo ziona ndani, madirisha yako upande mmoja tuu!, upande wa pili, hayana madirisha!, hii maana yake ni kama yalikuwa ni ya zile underground fulani!.
.

Kwenye mambo ya SGR, Watanzania tunapaswa kuambiwa ukweli wa kila kitu!, serikali yetu lazima iwe very transparent see through kwenye kila kitu including mikataba na financial maters kufuatia kuwahi kupigwa huko nyuma kwenye rada, kwenye ndege, kwenye meli na sasa kwenye reli
Maswali haya yajibiwe kikamilifu
Maswali haya yanahitaji majibu ya kina na sio blah blah!.
Kama mtu kuuliza maswali kama haya, kutapelekea kuhojiwa uzalendo wake, mimi naomba kutumia kinga ya kihabari na kanuni ya kwanza ya mwandishi wa habari no seek the truth, and write nothing but the truth!, kuna kitu ninadhamiria sio tuu kuandika bali kukitengenezea a video documentary ya safari ya SGR ya Tanzania, tulipotoka, tulipo na tunapokwenda, ili huko mbele, likija kujitokeza liji white elephant fulani hivi ambalo sijui kama ni mimi tuu naliona, angalau dhamira yangu isinisute, niliona kabla, nikasema kabla, nikaandaa documentary kabla, nikaonyesha kabla, ili angalau jamii ya Watanzania wajue kuna watu waliona kabla na walisema kabla!.

Na labda kuwasaidia Watanzania wenzangu wasio jua, kwenye ile kashfa ya rada, BAE walikiri kutoa mlungula wa kickbacks, lakini sheria yao inawaruhusu non disclosure ya waliowapa mlungula, ilo usipoteze wateja wapya wapenda mlungula, kibiashara mlungula wa 10% ni halali!, ila ikijulikana kuwa umetoa mlungula, unapaswa ama uwataje uliowapa mlungungula, wakamuliwe wautapike huo mlingula, ama uwahifadhi usiwataje, na badala yake utozwe faini kwa uliowapa mlungula, na kuurejesha ule mlungula, na hicho ndicho kilichofanywa na BAE, kuwahifadhi waliowapa mlungula, na badala yake ikakubali kulipa faini na ndipo tukarejeshewa ile chenji ya rada.

Hii maana yake, kuna viongozi wetu walikula mlungula BAE akawakingia kifua kuwahifadhi kwa kulipia faini na ule mlungula ukarudishwa nchini kama chenji ya rada, endapo BAE wasinge wakingia kifua kuwahifadhi na kuwalinda, amini usiamini, hayo majina ya waliopokea mlungula na kuzihifadhi fedha zao kule Credit Suisse, yangetoka, Watanzania msinge amini macho na masikio yenu!.

Kashfa hii iliobuka kwasababu tuu kulitokea lijinga limoja, mgao wake yeye ukauhifadhi visiwa fulani ambavyo viko chini ya milki ya Uingereza, ndipo Muingereza akabaini, lakini kama wote wange bank Swiss banks, kule fedha zao ni very secure, hata bank manager, hajui majina ya customers na clients ni secret codes tuu zinatembea, hivyo wala kashfa ya rada isinge ibuka!.

Hivyo watu tunaoulizia kuhusu haya mabenewa, naomba mtuelewe ni wazalendo wa kweli wa nchi hii!.

Paskali
 
Kaka Pascal Mayalla umeeleza vizuri,, watuambie ukweli tu,, watanganyika wa mwaka 2010 siyo kama wa leo wa mwaka 2022 wanawachora tu,, siku wakiamua mtakimbia hii nchi viongozi wangu wa CCM na watafukua mpaka makaburi yenu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…