Behewa za SGR zaanza kuwasili nchini Tanzania

Behewa za SGR zaanza kuwasili nchini Tanzania

Hayo mabehewa Tanzania wanatengeneza wapeni vijana kazi acheni muda wote kufikiria kuiba tuu vitu vingi hapo vinaagizwa harafu wanaunganisha hayo matofali washindwe kutengeneza Sido kweli mpaka mmeamua kununua nje ili mpige mchongo wenu...SA yale ya kisasa wanayapeleka scraper Jan 2023 harafu ninyi mnatulete uhuni na kuutangaza kabisa...
 
IMG_0959.jpg

Afrika kusini hao
 
Mimi nimepanda ile SGR ya Nairobi Mombasa, sijashangaa kabisa kuona haya Mabehewa, sijaona Treni streamline kama hizo za kwenye picha ya mwanzo.

SGR ni majanga tu,Kenya Bandari yao inaenda kutwaliwa na China.

Sijui sisi tumeweka dhamana kitu gani?
 
Nawaambia hivi hakuna siku itapita bila kumkumbuka jpm.

Juzi nililia kweli, nilikuwa kijiji fulani huko ndani ndani wakawa wanalaamika umeme, mara babu akasema "nilinunua jenereta ili tuwe tunaangalia tv tumuone magufuli " baada ya kifo chake babu anasema hajawahi kununua mafuta wala kuwasha jenereta.

Nikawaza huyu magufuli alikuwa ni nani watu hawana umeme kijijini ila wanaweka jitihada za kumuona hata kwenye taarifa ya habari. Na wakasema jpm angekuwa hai umeme wangekuwa washapata maana nguzo jpm alikwisha peleka kule kabla ya kifo chake.

Ni kweli kabisa wakati jpm. Yupo hata wewe usiempenda unaesoma hapa ulikuwa unamfatilia kwa karibu, ulitaka kujua leo jpm alikuwa wap? Leo jpm kaongea nini? Leo jpm kamtumbua nani? Leo jpm kafanya wapi ziara za kushutukiza.

Nyie watu Mungu alileta huyu mtu duniani kwa njia ya tofauti sana.

Yaani mtu anamchukia jpm ila taarifa ya habari yeye ndo wa kwanza kuwasha tv ili amuone tu.

Hivi hili mnaliwaza au mpo mnapinga pinga na akili zenu za ajabu?

Mnaweza sema sisi tunaoumizwa na kifo cha jpm ndo tunateseka ila niwaambie hata nyie msiompenda mnammiss sana jpm

Kubwa kuliko yote hata wapinzani wamemmiss chuma ya chato.

Rip jpm wetu.
Kwanamna dikteta JPM alivyopenda kutesa na kuua watu wasiomtaka na kwa jinsi alivyojiona naye ni mungu fulani, kifo chake kiliepusha mambo mengi sana.
 
Nawaambia hivi hakuna siku itapita bila kumkumbuka jpm.

Juzi nililia kweli, nilikuwa kijiji fulani huko ndani ndani wakawa wanalaamika umeme, mara babu akasema "nilinunua jenereta ili tuwe tunaangalia tv tumuone magufuli " baada ya kifo chake babu anasema hajawahi kununua mafuta wala kuwasha jenereta.

Nikawaza huyu magufuli alikuwa ni nani watu hawana umeme kijijini ila wanaweka jitihada za kumuona hata kwenye taarifa ya habari. Na wakasema jpm angekuwa hai umeme wangekuwa washapata maana nguzo jpm alikwisha peleka kule kabla ya kifo chake.

Ni kweli kabisa wakati jpm. Yupo hata wewe usiempenda unaesoma hapa ulikuwa unamfatilia kwa karibu, ulitaka kujua leo jpm alikuwa wap? Leo jpm kaongea nini? Leo jpm kamtumbua nani? Leo jpm kafanya wapi ziara za kushutukiza.

Nyie watu Mungu alileta huyu mtu duniani kwa njia ya tofauti sana.

Yaani mtu anamchukia jpm ila taarifa ya habari yeye ndo wa kwanza kuwasha tv ili amuone tu.

Hivi hili mnaliwaza au mpo mnapinga pinga na akili zenu za ajabu?

Mnaweza sema sisi tunaoumizwa na kifo cha jpm ndo tunateseka ila niwaambie hata nyie msiompenda mnammiss sana jpm

Kubwa kuliko yote hata wapinzani wamemmiss chuma ya chato.

Rip jpm wetu.

Ubovu wa mama haumfanyi Magufuli kuwa Bora. Alipomwaga damu ya Lissu na Saanane asingechukua raundi. Ogopa damu ya mtu.
 
Mara baada ya upembuzi yakinifu toka kwa timu ya mainjinia, kuja kutafiti waliona hiyo picha namba moja ni ngumu sana kudumu kwa muda mrefu kwa maana hilo ni Mayai zaidi, kwa hali ya reli yetu watuletee hayo ambayo yatakuwa mazuri kwa mazingira yetu na yatadumu kwa muda mrefu.
 
Mwanzo tuliahidiwa hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Picha namba 1
Tumeletewa haya mabox Picha namba 2
Ni huzuni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

View attachment 2424970View attachment 2424971
Usije ukakurupuka! Hizo behewa za ahadi uliwahi kupanda ukaona ndani zikoje; ili ulinganishe na hizi ambazo sisi wengi hatujapanda?
Au labda umesoma contact specifation documents?
 
Back
Top Bottom