promethus
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 1,164
- 1,901
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
CCM mmekosa mwelekeo
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
CCM mmekosa mwelekeo
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamkumbuka ile treni ya Komredi Polepole kule Moshi inavyosaidia mwisho wa mwaka![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
CCM mmekosa mwelekeo
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Bandarini
Zile behewa zinadumu miaka 100+Nasikia mzigo Mme order toka kikuu
Zile behewa zinadumu miaka 100+
Zile za awali kama precision zingeweza kukatika!Zile walizochagua awali ubora na utofauti ukoje?
Zile za awali kama precision zingeweza kukatika!
Akili za kiccmZile za awali kama precision zingeweza kukatika!
Wakikusikia wakaskazini watakuchekaCcm hawajawahi kufanya jambo la kuwafurahisha watanzania. Sijui wanatuonaje
Krismas!Akili za kiccm
Ccm hawajawahi kufanya jambo la kuwafurahisha watanzania. Sijui wanatuonaje
Umekuwa msemaji wa wateja?Hayo mabehewa hayatapata wateja.
Haya mbona kama yale ya kubeba wanajeshi wa Soviet Union wakati wa WWII
Wanicheke kwamba wao wana raha gani. Haohao ndo kila siku wanalalamika na ndo hawaipendi ccm kishenzi. Bora sisi wagogo imetutupa lakini bado tunajikomba nayoWakikusikia wakaskazini watakucheka