Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,478
naona unachanganya mambo umesema kidemu na sio mke tofautisha vitu ivo viwili kaka mume na buzi vitu viwili tofauti sana
Mbona kawaida sana hii? Mimi kuna kidemu mashoga zake huwaga wananipigia simu sijui ndo kusuluhisha au vipi...hata sielewi. Lakini hakuna cha ajabu hapo.
Ila kinaweza kubisha tehtehteh