Behind any frustrated man there is a woman

Behind any frustrated man there is a woman

naona unachanganya mambo umesema kidemu na sio mke tofautisha vitu ivo viwili kaka mume na buzi vitu viwili tofauti sana


Mbona kawaida sana hii? Mimi kuna kidemu mashoga zake huwaga wananipigia simu sijui ndo kusuluhisha au vipi...hata sielewi. Lakini hakuna cha ajabu hapo.

Ila kinaweza kubisha tehtehteh
 
so for this one its ok baba ateseke lakini wengine hapana sio?

Hata ikibidi kuachana, cha maana ni kuweka mpango mzuri na endelevu wa kuangalia watoto rather than watoto kuteseka wakiwa na baba na mama
seeing a drunk farther, fighting with a b**ch mother talking all sh!t words and ending up ruining everyones lives


so the mother is a bicth now???????????
 
Watoto wangu wangu kwa sasa wameshtuka kidogo mana narudi hme late halafu nikifika napitiliza kulala but every weekend nawatoa out bila mama yao coz i really love them and will make sure nawajengea future nzuri. Nimewafungulia accounts kwa kutumia pesa iliyokuwa intended for our common projects with wife ambazo kwa sasa zimestop. mke wangu nikimwangalia usoni i can see a guilty and regretting mind. Halafu hajaniuliza why am behaving the way i do. mwanzoni alikuwa akijaribu kunimegesha halafu mimi namkazia macho analegea na kuacha. sasa hivi tunasalimiana tu ila yuko restless. Naona pia amepunguza kwenda out halafu ninanotice ameanza kidogo kupunguza kujikwatua na kujipendezesha. Sijajua atachukua mesures gani ila nitawapeni mrejesho wa events as the situation evolves.
Hivi braza ulioa binadamu au ulioa malaika?

Why did you expected 100% kutoka kwa human being?
 
Samahani waungwana ila a few monts ago nimeanza kubugia pombe kama maji. Nilikuwa nimemwamini sana mke wangu. nilimpa asilimia mia moja. nami baada ya ndoa sijawahi kumsaliti sasa yeye kaamua kutoka na my best friend. jamaa yangu kawaona live wanatoka guest house akaja kunambia. mimi nilikuwa na mashaka na mahusiano ya mke wangu na rafiki yangu tangu muda mrefu kwa sababu nikiwa na mke wangu nikikutana na rafiki yangu mwizi, mke wangu anaangalia chini na hawezi kabisa kumtizama jamaa. sasa imethibitika mke wangu anananihiwa na rafiki yangu. Sijamwambia kitu hadi sasa ila nimeanza kunywa pombe kama maji. Na hapa JF naomba msinishauri kuâcha pombe. Nimeweka thread hii kuwatahadharisha wale wenye ujinga kama wangu wa kumwamini mke 100%. Samahani yawezekana kuna wanawake waaminifu pia. Ila nimeacha kabisa kufanya the needful na mke wangu. hata akiwa uchi namwona kama mwanamme mwenzangu tu. Sijui kama nitakuja kugusa K maishani. Kila nikijisikia kudo nakamata bia. Kwaherini akina dada. Ninajua JF mna hekima na busara ila kwa sasa sihitaji ushauri wowote. Am married to vodka. Nawaasa tu wale walioweka 100% kwa wake zao. YAMENIKUTA. Naomba kuwasilisha wakuu.

...UNTIL DEATH DO US APART......ikoje hii?
 
Samahani waungwana ila a few monts ago nimeanza kubugia pombe kama maji. Nilikuwa nimemwamini sana mke wangu. nilimpa asilimia mia moja. nami baada ya ndoa sijawahi kumsaliti sasa yeye kaamua kutoka na my best friend. jamaa yangu kawaona live wanatoka guest house akaja kunambia. mimi nilikuwa na mashaka na mahusiano ya mke wangu na rafiki yangu tangu muda mrefu kwa sababu nikiwa na mke wangu nikikutana na rafiki yangu mwizi, mke wangu anaangalia chini na hawezi kabisa kumtizama jamaa. sasa imethibitika mke wangu anananihiwa na rafiki yangu. Sijamwambia kitu hadi sasa ila nimeanza kunywa pombe kama maji. Na hapa JF naomba msinishauri kuâcha pombe. Nimeweka thread hii kuwatahadharisha wale wenye ujinga kama wangu wa kumwamini mke 100%. Samahani yawezekana kuna wanawake waaminifu pia. Ila nimeacha kabisa kufanya the needful na mke wangu. hata akiwa uchi namwona kama mwanamme mwenzangu tu. Sijui kama nitakuja kugusa K maishani. Kila nikijisikia kudo nakamata bia. Kwaherini akina dada. Ninajua JF mna hekima na busara ila kwa sasa sihitaji ushauri wowote. Am married to vodka/Viceroy Smooth Brandy. Nawaasa tu wale walioweka 100% kwa wake zao. YAMENIKUTA. Naomba kuwasilisha wakuu.
dah!
Yaani dada Rose kama ningalikuwa nimewahi kumtenda mbona ingekuwa droo ila sasa nimefungwa mzinga wa bao na sijui walianza lini
inauma sana!

asanteni sana wakuu yaani hapa JF kuna maushauri kibao ndiyo maana 2 weeks baada ya tukio nikaja hapa. Mtu unaweza unaweza ukachange mind na kuacha pombe. Ila kwa sasa pombe is my wife and i love her. Naomba anayefahamu pombe yenye alcohol vol zaidi 50 anisaidie
ha ha ha ha!tengeneza PANCH ya vodca,valuu,viceroy,grants,ballantain

Watoto wangu wangu kwa sasa wameshtuka kidogo mana narudi hme late halafu nikifika napitiliza kulala but every weekend nawatoa out bila mama yao coz i really love them and will make sure nawajengea future nzuri. Nimewafungulia accounts kwa kutumia pesa iliyokuwa intended for our common projects with wife ambazo kwa sasa zimestop. mke wangu nikimwangalia usoni i can see a guilty and regretting mind. Halafu hajaniuliza why am behaving the way i do. mwanzoni alikuwa akijaribu kunimegesha halafu mimi namkazia macho analegea na kuacha. sasa hivi tunasalimiana tu ila yuko restless. Naona pia amepunguza kwenda out halafu ninanotice ameanza kidogo kupunguza kujikwatua na kujipendezesha. Sijajua atachukua mesures gani ila nitawapeni mrejesho wa events as the situation evolves.
dah!

I know for sure that alcohol provides no solution and am not drinking to solve the prob. its my greatest company for now. of course i have friends ninapiga nao stôries but only one of them knows my situation. But i can assure JF that I rather f..u..c.......k alcohol rather than a woman. Najua nikielekeza hasira zangu kwenye infideility, nitakuwa natembeza fimbo hata 3 wmen kutwa yaani 1 asbh 1 mchana 1 jioni na very soon nitajikuta ahera na jf nitaikosa.
ha ha ha!
this is vere vere
halafu jamaa aliyejivinjari na my wife wangu ana mke mwaminifu saana. Namfahamu. She is very motherly ira ri mme rake ndo ivo tena linakula hadi vya wenzake.
i am advising you to revenge

NAENDELEA KUTAFAKARI NITAKUSHAURI BAADAE KIDOGO
 
Pole dunia ndivyo ilivyo,

pombe si siruhisho la matatizo yako acha itakupeleka pa baya
one ukiwa teja kwishn!
Acha kuamini na kukumbatia marafiki wa ajabu ajabu.

Pia acha kusimulia watu juu ya uzuri wa mkeo!

Muonye mkeo na umsamehe nauhakika hatarudia tena
 
Pole dunia ndivyo ilivyo,

pombe si siruhisho la matatizo yako acha itakupeleka pa baya
one ukiwa teja kwishn!
Acha kuamini na kukumbatia marafiki wa ajabu ajabu.

Pia acha kusimulia watu juu ya uzuri wa mkeo!

Muonye mkeo na umsamehe nauhakika hatarudia tena
huu sio ushauri kabisa
 
Nakuelewa sana Acid kk angu, na huyu jamaa tatizo lake nimelielewa, ila najaribu kufikiria ingekuwa yy ndo kafanya hayo kwa mkewe,

Kwanza hapa neno Uvumilivu ndo lingechukua nafac yake, muombee, mpende zaidi, angalia ni wapi unakosea, lkn kwa sababu jamaa ni mwanaume siyasikii hayo, halafu kimsingi anakosea kufunga ndoa na hizo valuu,

Imagine angekuwa mwanamke angefikia hapo??? Wanaishiaga kusema ningeondoka lkn watoto wangu.

Nakubalianaga sana na wewe LD ila hapa naomba niseme kwamba mwanamke hutakiwi kucheat kabisa kama umeshaolewa na una watoto kwani huyo mume uliolewa nae hukulazimishwa ulimpenda mwenyewe tena sometimes kwa kujibebesha mimba.

NOTE:
Mwanamke ni nadra sana kungonoka na mbaba/kaka asiempenda mara nyingi anakua amempenda ndio maana anafikia hatua ya kugalagazana nae 5 x 6 ila kwa wanaume (siwatetei) ye anaweza hata kulala na mdada asiempenda mradi tu atii kiu yake. huyo dada hafai tena na best friend wa mumewe mwe!
 
we acha kina mama tuna kazi si mchezo

chauro darling mwanamama hutakiwi kucheat ni tabia mbaya jamaa uko juu kasema alikua mpaka anampigisha kigelegele mkewe sasa huyo mmama alikua anatoka kutafuta nini uko nnje labda baba alikua mwanamme suruale
 
Nakubalianaga sana na wewe LD ila hapa naomba niseme kwamba mwanamke hutakiwi kucheat kabisa kama umeshaolewa na una watoto kwani huyo mume uliolewa nae hukulazimishwa ulimpenda mwenyewe tena sometimes kwa kujibebesha mimba.

NOTE:
Mwanamke ni nadra sana kungonoka na mbaba/kaka asiempenda mara nyingi anakua amempenda ndio maana anafikia hatua ya kugalagazana nae 5 x 6 ila kwa wanaume (siwatetei) ye anaweza hata kulala na mdada asiempenda mradi tu atii kiu yake. huyo dada hafai tena na best friend wa mumewe mwe!

Yawezekana kaanguka tu kwenye majaribu dada, hata na yeye ni binadamu,

Hivi anaweza akastahili kusamehewa????
 
maty nakubaliana na wewe na pia sikubaliani na wewe ivi kweli alikuwa ana communicate na mkewe kujua ana mridhisha au alikuwa anassume kwamba kwa kufanya hayo ndo kamaliza sitetei kucheat hata kidogo lakini mimi bado naamini kwamba mwanamke mara nyingi inakuwa ngumu sana kutembea nje ya ndoa lazima kuna sababu ambayo siwezi kuitetea bado huyu mama anahitaji msamaha embu fikiri wanawake wanaona mangapi na si mara moja bado tunasamehe na kujenga nyumba zetu kwanini kosa moja la mama lisiwe na msamaha

chauro darling mwanamama hutakiwi kucheat ni tabia mbaya jamaa uko juu kasema alikua mpaka anampigisha kigelegele mkewe sasa huyo mmama alikua anatoka kutafuta nini uko nnje labda baba alikua mwanamme suruale
 
sure...
mkuki kwa nguruwe?naona mnavyochangia kwa machungu ...nyie mnavyopigaga nje inakuwa tamu ennh?
kwa wenzenu vdole juu afu nyie kwenu mnapongezana kw akuwa na haus ndogo nyng......NA BADO....
thou siung mkono kitendo cha dada kumsaliti jamaa.....

Rose, I love you....
 
maty nakubaliana na wewe na pia sikubaliani na wewe ivi kweli alikuwa ana communicate na mkewe kujua ana mridhisha au alikuwa anassume kwamba kwa kufanya hayo ndo kamaliza sitetei kucheat hata kidogo lakini mimi bado naamini kwamba mwanamke mara nyingi inakuwa ngumu sana kutembea nje ya ndoa lazima kuna sababu ambayo siwezi kuitetea bado huyu mama anahitaji msamaha embu fikiri wanawake wanaona mangapi na si mara moja bado tunasamehe na kujenga nyumba zetu kwanini kosa moja la mama lisiwe na msamaha

Na mimi hicho ndicho kilio changu Chauro, Kwa nini huyu mama asipewe nafasi ya kusamehewa??
IKiwa mwanaume akianguka tunaweza tukamsamehe na maisha yakaendelea??

Kwa nini mama huyu asisamehewe??
 
yani huwa nasikitika sababu nimeona mdau mmoja tayari kamuita bit..ch wife sasa nashindwa kuelewa mbona tunabeba misalaba mizito na migumu sana na hata saa nyingine tunakimbizana kutafuta ada za watoto pamoja bila ya wao kujali mipaka yetu iko wapi tunapata kiasi gani na kupendeza kwetu wana mchango gani

Na mimi hicho ndicho kilio changu Chauro, Kwa nini huyu mama asipewe nafasi ya kusamehewa??
IKiwa mwanaume akianguka tunaweza tukamsamehe na maisha yakaendelea??

Kwa nini mama huyu asisamehewe??
 
Yawezekana kaanguka tu kwenye majaribu dada, hata na yeye ni binadamu,

Hivi anaweza akastahili kusamehewa????

hapa umenena mwaya sasa nimekuelewa
 
hapa umenena mwaya sasa nimekuelewa

Au inawezekana hi tabia ya uzinzi sijui Infid.... shetani aliivumbua kwa ajili ya wanaume tu??

So mwanamke akiivamia/ au ikikukuta inakuwa mbaya sana??

Hata nikifikiria hivo bado napata swali kwani hao wanaume si wanafanya na wanawake??

Mmmmmh, ombi langu huyu mama asamehewe tu.
 
sure...
mkuki kwa nguruwe?naona mnavyochangia kwa machungu ...nyie mnavyopigaga nje inakuwa tamu ennh?
kwa wenzenu vdole juu afu nyie kwenu mnapongezana kw akuwa na haus ndogo nyng......NA BADO....
thou siung mkono kitendo cha dada kumsaliti jamaa.....


Kunya anye KUKU akinya BATA Kahara, patamu hapo.......
 
Hapo ndipo ninapowafagilia wapemba hawataki utani na wake zao, na dini zimesema mke wa mtu ni haramu kukaa, kugusana au kupeana mikono na mtu ambae si kakayake wa kuzaliwa, baba yake mzazi, ama ndugu wa baba.

Na hapa inaonekana wewe ndio chanzo cha tatizo ulipoanza ulevi na ulipomfundisha panya kula sufi.

Wanawake ni watu dhaifu sana ni rahisi kudanganywa kwa vitu vidogo sana
 
Back
Top Bottom