Behind the curtain: September 11

Pamoja sana mkuu! Salute
The Bold naomba kama una hivi vutabu vya aina hii nipanue uelewa pia maana kuna story nyingi sana za kuhusu Osama na Al Qaeda wapo wanaosema kuwa Osama hakuwa na nguvu yoyote kijeshi,kimkakati na kiuchumi wa kulipua WTC isipo kuwa ni Mossad ndo walifanya hivi ili kuanzisha ''The War On Terror,sasa bado napitia conspiracy mbalimbali kujua nini ni ukweli,
natanguliza shukrani
 
Mkuu uko vzr nakuelewa ujue
 
Inasemekana Wayahudi wote waliokuwa wanafanyakazi WTC hawakwenda kazini september 11. That means hakuna Myahudi hata mmoja aliyekufa katika shambulio lile.
 
Inasemekana Wayahudi wote waliokuwa wanafanyakazi WTC hawakwenda kazini september 11. That means hakuna Myahudi hata mmoja aliyekufa katika shambulio lile.
Ina maana walijua nini kinatarajia kutokea,mossa wanakwepa vipi hili? ngoja tusome zaidi
 
Ahsante mkuu The bold

Umenifungua akili kwa hali ya juu na kung'amua mambo mengi ambayo kwa muda mrefu sikuwahi kupata majibu yake...ngoja niendelee kufuatilia hakuna kilichojificha kitakosa kufichuliwa

Time is our true friend!!!
Shukrani sana kiongozi..
Tuko pamoja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…