Isack Msemo Rajab
Member
- Nov 23, 2016
- 87
- 37
Tayari ilishatoka na watu wameshaisoma wanasubiri sehemu ya 12 ambayo mkuu katujuza kwamba inatoka siku ya Ijumaa.
nimerudi ilaa naona kuna link ya episode ya 10 tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari ilishatoka na watu wameshaisoma wanasubiri sehemu ya 12 ambayo mkuu katujuza kwamba inatoka siku ya Ijumaa.
Rudi pale mwanzo kuna linki imewekwa!
Angalia page 104nimejaribu kuicheki siioni
Angalia page 104
The Bold naomba kama una hivi vutabu vya aina hii nipanue uelewa pia maana kuna story nyingi sana za kuhusu Osama na Al Qaeda wapo wanaosema kuwa Osama hakuwa na nguvu yoyote kijeshi,kimkakati na kiuchumi wa kulipua WTC isipo kuwa ni Mossad ndo walifanya hivi ili kuanzisha ''The War On Terror,sasa bado napitia conspiracy mbalimbali kujua nini ni ukweli,Pamoja sana mkuu! Salute
I hope umeshaiona sasa..
Nimeshatupia toka mchana..
Mkuu uko vzr nakuelewa ujueNimemuachia ukumbi bwana mkubwa ajiachie, nilitaka niweke record sawasawa, nashawishika kuwa huenda kuna decision makers/policy makers au wale ambao wana influence maamuzi ya nchi/serikali wakapita hapa kunyakua mawili matatu, ni vyema kuelezea kiini cha tatizo (course) (proactive) halisi kabla ya ku-rush kwenye kuelezea 'reactive' consequences za CIA, AL Queda, et al.
Radical Islam its a contemporary axis of balance btn peace and conflicts, and may be in half a century to come, if not more, will be, failing to comprahandle the core course of the problem will leave us dealing with what is urgent and not what is important which is an important element in national security decision making process.
Unless ameleta 'story' tam...
Inasemekana Wayahudi wote waliokuwa wanafanyakazi WTC hawakwenda kazini september 11. That means hakuna Myahudi hata mmoja aliyekufa katika shambulio lile.The Bold naomba kama una hivi vutabu vya aina hii nipanue uelewa pia maana kuna story nyingi sana za kuhusu Osama na Al Qaeda wapo wanaosema kuwa Osama hakuwa na nguvu yoyote kijeshi,kimkakati na kiuchumi wa kulipua WTC isipo kuwa ni Mossad ndo walifanya hivi ili kuanzisha ''The War On Terror,sasa bado napitia conspiracy mbalimbali kujua nini ni ukweli,
natanguliza shukrani
Ina maana walijua nini kinatarajia kutokea,mossa wanakwepa vipi hili? ngoja tusome zaidiInasemekana Wayahudi wote waliokuwa wanafanyakazi WTC hawakwenda kazini september 11. That means hakuna Myahudi hata mmoja aliyekufa katika shambulio lile.
Tayari nimeweka link pale mwanzoni..Bado kaka ungeweka link juu pale kama kawa ningeweza kuipata kwa urahisi
Sorry page 102 post [HASHTAG]#1014[/HASHTAG]page 104 nimekutana na post ya huyu jamaa (reply) HARVESTER anamuomba The Bold amtag
Mkuu ghafla umegeuka nifha[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Pamoja chief..
Shukrani sana kiongozi..Ahsante mkuu The bold
Umenifungua akili kwa hali ya juu na kung'amua mambo mengi ambayo kwa muda mrefu sikuwahi kupata majibu yake...ngoja niendelee kufuatilia hakuna kilichojificha kitakosa kufichuliwa
Time is our true friend!!!
Pamoja sana mkuu..@THEBOLD usichoke tafadhari hadi mwisho mkuu,ijumaa tutakua pamoja