Behold! The best railway in Africa!

We don't want renders. People can draw anything to fool you. Show us the real stations. Our smaller stations look good. Look at Suswa station under construction, can you compare it with that shit of yours?

Usijali ndugu after two years watavunja na kujenga vikubwa tumeshazoea ni kama brt ubungo unajenga hata miaka 3 hajaifika unavunja una weka fly over utafikiri hamna mipango

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzi humu watu walipigia kelele sana vituo havivutii kabla hata mradi haujafika mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You need to ask yourself what is the distance between Nairobi and Mombasa and also what's the distance between Dar and Dar?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tembea ujionee acheni kushinda kwenye fulusuti zenu hizo na kupata habari za kuambiwa tu, kama mizigo inaishia dar basi hata barabara za ku link na nchi nyingine zisingejengwa
 
Correct.
Na itabeba hii mizigo kwa miaka 100.
Kumbuka hata project yote ya SGR bado haijafika nusu.
sasa mnavyolia na ile stesheni kwani nayo imemalizika?? basi utaniambia sio white elephant baada ya hio miaka 100 ila kwa sasa kila mmoja abaki na lake analojionea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…