What you should ask yourself is why are Kenyans planning to buy another locomotives?Wakina nani wanaongelea kununua? Je hizi za sasa hivi mlitumia kiasi gani cha pesa kuzinunua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohh! so its Kenyans! These new ones must be electric, kwasababu nilisikia pia wakenya wana mpango waku electrify SGR.What you should ask yourself is why are Kenyans planning to buy another locomotives?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohh! so its Kenyans! These new ones must be electric, kwasababu nilisikia pia wakenya wana mpango waku electrify SGR.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakina nani wanaongelea kununua? Je hizi za sasa hivi mlitumia kiasi gani cha pesa kuzinunua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay.. hizi mnazotumia sasa hivi moja ni kiasi gani?Locomotives are the cheapest part of the railway system.
Treni moja ni chini ya $2 million.
Usijali ndugu after two years watavunja na kujenga vikubwa tumeshazoea ni kama brt ubungo unajenga hata miaka 3 hajaifika unavunja una weka fly over utafikiri hamna mipangoWe don't want renders. People can draw anything to fool you. Show us the real stations. Our smaller stations look good. Look at Suswa station under construction, can you compare it with that shit of yours?
Did Kenya get a loan to build a railway, or vice versa?Sijui kama waelewa maana ya white elephant.
SGR trains are always overbooked. Sasa hivi watu wanaongea kuhusu kununua locomotives zaidi.
Mizigo ya kwenda wapi if all the cargo terminates at Dar [emoji23][emoji23]Did Kenya get a loan to build a railway, or vice versa?
Lengo kubwa la Sgr ni mizigo abiria ni nyongeza tu
Kuna uzi humu watu walipigia kelele sana vituo havivutii kabla hata mradi haujafika mbaliWakenya wapo sahihi sana kwenye hili. Station ya Soga ilitakiwa iwe kubwa na ya kisasa zaidi kwani ina represent mkoa mzima wa Pwani, mkoa ambao ni unofficial Industrial region ya Tanzania.
Viwanda vingi sana vinajengwa mkoa wa Pwani na vingi zaidi vitajengwa si mbali sana na Soga, hicho ki station kama boksi karne hii hakifai kabisa. Designers wetu ni bogus kabisa.
Station ya Soga in a very near future itakuwa busy kuliko ya Dar kwa sababu Dar hakuna expansion ya jiji, expansion yoyote itaelekea magharibi ya Dar. Miaka 20 ijayo Soga station itakuwa katikati ya metropolis.
Watanzania tupo kama kipofu aliyeona punda.
ya kwenda kwenye fulusuti kupeleka avocado na githeriMizigo ya kwenda wapi if all the cargo terminates at Dar [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi hamna cargo yoyote going past Dar so acheni kujichocha.ya kwenda kwenye fulusuti kupeleka avocado na githeri
na nyie Kenya si Nairobi tu acheni kujichoma
na nyie Kenya si Nairobi tu acheni kujichoma
Did Kenya get a loan to build a railway, or vice versa?
Lengo kubwa la Sgr ni mizigo abiria ni nyongeza tu
Tembea ujionee acheni kushinda kwenye fulusuti zenu hizo na kupata habari za kuambiwa tu, kama mizigo inaishia dar basi hata barabara za ku link na nchi nyingine zisingejengwaYou need to ask yourself what is the distance between Nairobi and Mombasa and also what's the distance between Dar and Dar?
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa mnavyolia na ile stesheni kwani nayo imemalizika?? basi utaniambia sio white elephant baada ya hio miaka 100 ila kwa sasa kila mmoja abaki na lake analojioneaCorrect.
Na itabeba hii mizigo kwa miaka 100.
Kumbuka hata project yote ya SGR bado haijafika nusu.
Barbara ni tofauti na reli.Tembea ujionee acheni kushinda kwenye fulusuti zenu hizo na kupata habari za kuambiwa tu, kama mizigo inaishia dar basi hata barabara za ku link na nchi nyingine zisingejengwa