Bei na tofauti ya laptop na desktop

Bei na tofauti ya laptop na desktop

500k-700k
Ya kuagiza itapendeza zaidi
Au chimbo lako unalolikubali hapa bongo
Budget hio processor uatakayopata ni za gen ya 8, sio lazima iwe i7 hata i5 inafaa utofauti wake mdogo mno kwa hio budget. Pia i3 gen ya 12 unapata (ina nguvu kuliko i7 zote za gen ya 11 kushuka)

Sababu unataka hdd na ssd inabidi iwe na M2 slot ili kwenye M2 uweke ssd na sata uweke hdd.

Kuhusu upana standard ni inch 15.6 ukitoka hapo ni inch 17 ambazo zipo sema chache sana.

Kwa around laki 6 laptop za gen ya 8 unapata Discountkubwa wanaangalizana na kituo Cha polisi msimbazi.

Kwa gen ya 12 hio i3 nimeiona Icare wapo Uhuru pale kwa laki 7, sema ni inch 14.

Kwa kuagizishia nje una mtu unamjua ama usafiri upo ndani ya hio laki 7?

Pia sio lazima iwe i7 Ryzen zozote kuanzia 5xxx series zitakua na nguvu sawa ama zaidi ya i7 gen ya 11 kushuka.
 
Budget hio processor uatakayopata ni za gen ya 8, sio lazima iwe i7 hata i5 inafaa utofauti wake mdogo mno kwa hio budget. Pia i3 gen ya 12 unapata (ina nguvu kuliko i7 zote za gen ya 11 kushuka)

Sababu unataka hdd na ssd inabidi iwe na M2 slot ili kwenye M2 uweke ssd na sata uweke hdd.

Kuhusu upana standard ni inch 15.6 ukitoka hapo ni inch 17 ambazo zipo sema chache sana.

Kwa around laki 6 laptop za gen ya 8 unapata Discountkubwa wanaangalizana na kituo Cha polisi msimbazi.

Kwa gen ya 12 hio i3 nimeiona Icare wapo Uhuru pale kwa laki 7, sema ni inch 14.

Kwa kuagizishia nje una mtu unamjua ama usafiri upo ndani ya hio laki 7?

Pia sio lazima iwe i7 Ryzen zozote kuanzia 5xxx series zitakua na nguvu sawa ama zaidi ya i7 gen ya 11 kushuka.
Sawasawa mkuu
 
Mkuu hiyo
Brand ya HP Ina subbrand nyingi.

Hio link ulioniwekea ni spectre X360 series ambayo ni premium laptop zenye manjonjo yote, nyembamba sana, unaweza ukaikunja kama tablet, ipo vizuri kwenye media etc.

Ukiona tu kwa picha unaona imetengenezwa kwa ajili ya mauzo na kukupa status.
View attachment 2876485
View attachment 2876486


Elitebook yenyewe wanatengeneza kwa ajili ya maofisi na wafanyabiashara ni Laptop ambazo muonekano sio priority, zinakuwa zinadumu na warranty zake ni ndefu mara nyingi miaka 3 ama zaidi,

Muonekano wa elitebook yenye 7840U
View attachment 2876490

Kama unataka tu Machine ya kazi kazi hio elitebook sio mbaya, ila kama Laptop kwako ni status unakua na mikutano na wateja ama sehemu ambapo unahisi ukifungua laptop Kali itakuongezea point kadhaa then spectre ipo vizuri.

Brand ya HP Ina subbrand nyingi.

Hio link ulioniwekea ni spectre X360 series ambayo ni premium laptop zenye manjonjo yote, nyembamba sana, unaweza ukaikunja kama tablet, ipo vizuri kwenye media etc.

Ukiona tu kwa picha unaona imetengenezwa kwa ajili ya mauzo na kukupa status.
View attachment 2876485
View attachment 2876486


Elitebook yenyewe wanatengeneza kwa ajili ya maofisi na wafanyabiashara ni Laptop ambazo muonekano sio priority, zinakuwa zinadumu na warranty zake ni ndefu mara nyingi miaka 3 ama zaidi,

Muonekano wa elitebook yenye 7840U
View attachment 2876490

Kama unataka tu Machine ya kazi kazi hio elitebook sio mbaya, ila kama Laptop kwako ni status unakua na mikutano na wateja ama sehemu ambapo unahisi ukifungua laptop Kali itakuongezea point kadhaa then spectre ipo vizuri.
Mkuu elitebook yenye 7840U sijaiona ila nimeona hii
 

Attachments

  • Screenshot_2024-01-23-12-33-35-514_com.amazon.mShop.android.shopping.jpg
    Screenshot_2024-01-23-12-33-35-514_com.amazon.mShop.android.shopping.jpg
    183.6 KB · Views: 20
Mpaka ubadili motherboard, processor inaongezeka kwa gen 2 ama 3 Intel, mfano machine ya gen 8 inakubali cpu za gen ya 9, ila zaidi ya hapo ukitaka kuweka ya 10, 11, 12 na kuendelea inabidi ubadili motherboard.
Vp kwa gen za nyuma huko yaan gen 1-2-3 nk zinakubal kuongeza processor?
 
Vp kwa gen za nyuma huko yaan gen 1-2-3 nk zinakubal kuongeza processor?
Gen 2 na 3 zinaingiliana na Gen 4 na 5 zinaingiliana.

Mfano una i5 2500 unaweza uka upgrade kwenda i7 3770. Unaangalia tu bios zako kama zipo up to date.

Hata kama bios haziruhusu unaweza upgrade i3 ama i5 kwenda i7 of same generation.
 
Gen 2 na 3 zinaingiliana na Gen 4 na 5 zinaingiliana.

Mfano una i5 2500 unaweza uka upgrade kwenda i7 3770. Unaangalia tu bios zako kama zipo up to date.

Hata kama bios haziruhusu unaweza upgrade i3 ama i5 kwenda i7 of same generation.
Yaan hapa kuna kipc cha zaman sana cha chromebook GEN1 yaan ina ssd 16 na Ram 2 processor yake kama 1.14 sasa hapo Rom nawez ongeza i think!! Sijui kwa PROCESSOR NA RAM?
 
VP mkuu kwa issues za kuedit videos na internet nahtaj yenye ukubwa Gan??
Ku edit video unahitaji Core nyingi kadri iwezekanavyo, inategemea na budget yako. Ila ideal intel gen ya 12 ama ryzen 5xxx zitakupa perfomance nzuri, software gani unatumia?
 
Budget hio processor uatakayopata ni za gen ya 8, sio lazima iwe i7 hata i5 inafaa utofauti wake mdogo mno kwa hio budget. Pia i3 gen ya 12 unapata (ina nguvu kuliko i7 zote za gen ya 11 kushuka)

Sababu unataka hdd na ssd inabidi iwe na M2 slot ili kwenye M2 uweke ssd na sata uweke hdd.

Kuhusu upana standard ni inch 15.6 ukitoka hapo ni inch 17 ambazo zipo sema chache sana.

Kwa around laki 6 laptop za gen ya 8 unapata Discountkubwa wanaangalizana na kituo Cha polisi msimbazi.

Kwa gen ya 12 hio i3 nimeiona Icare wapo Uhuru pale kwa laki 7, sema ni inch 14.

Kwa kuagizishia nje una mtu unamjua ama usafiri upo ndani ya hio laki 7?

Pia sio lazima iwe i7 Ryzen zozote kuanzia 5xxx series zitakua na nguvu sawa ama zaidi ya i7 gen ya 11 kushuka.
Mkuu naomba mawasiliano ya hao wanaotazamana na polisi au IG name yao
 
Back
Top Bottom