Bei na tofauti ya laptop na desktop

Bei na tofauti ya laptop na desktop

Mkuu download hio f-droid, kisha ifungue nenda setting kwenye repository enable archive. Rudi kwenye app search mwenyewe, app karibia zote zitakuja version za zamani ambazo zinakubali simu yako, itakusaidia...
[emoji106][emoji106]
 
Ndio ama imechomolewa Manual, unakuta ndani zilikua 4GBx2 ikaandikwa 8GB halafu baadae mtu kachoboa ram moja ikabaki 4GB.
Mkuu nahitaji laptop SSD Kwa ajili ya internet na ishu ndogondogo naomba unielekeze ninunue ipi na bei ipoje
 
Mkuu nahitaji laptop SSD Kwa ajili ya internet na ishu ndogondogo naomba unielekeze ninunue ipi na bei ipoje
Kuna model tofauti tofauti ila common sana ni sata Ssd na Nvme.

Angalia laptop yako ina port gani kama ni ya kizamani ina hdd tu basi sata ssd unaweka ila kama ina port ya nvme unaweza ukaweka ssd ya m2 na ukabakisha hdd ya sasa zikafanya kazi zote.

Kama hujui kuangalia niwekee model full ya laptop/desktop nikuchekie.
 
Kuna model tofauti tofauti ila common sana ni sata Ssd na Nvme.

Angalia laptop yako ina port gani kama ni ya kizamani ina hdd tu basi sata ssd unaweka ila kama ina port ya nvme unaweza ukaweka ssd ya m2 na ukabakisha hdd ya sasa zikafanya kazi zote.

Kama hujui kuangalia niwekee model full ya laptop/desktop nikuchekie.
Samahan nilikosea kuandika,
Yani nahitaji kununua laptop yenye SSD for internet na issues ndogondogo, kwahyo nataka unielekeze nichukue hipi ambayo ni bora na bei yake ipoje
 
Samahan nilikosea kuandika,
Yani nahitaji kununua laptop yenye SSD for internet na issues ndogondogo, kwahyo nataka unielekeze nichukue hipi ambayo ni bora na bei yake ipoje
Budget ni kiasi gani? Nipe range
 
Rahisi kupata Ryzen 5 3500U ama intel i5 8250U laptop zake zipo nyingi mtaani, tafuta tu brand unayo penda, ikiwa na hio M2 slot itakua vizuri zaidi ili usipoteze nafasi ya kuwa na storage kubwa zaidi.
 
Kwa Desktop

200,000-300,000
Tafuta machine za Ryzen Amd kama Ryzen 2400G hizi as cheap as 230,000 then nunua Aliexpress ram mbili za 8GB around 2900mhz utacheza games hizi za kibongo bongo hadi 1080p low setting.

300,000+
Tafuta intel generation ya 8 kama i5 8400, 8500 ama i7 8700 hizi, nyingi hizi unazipata around laki 4 hivi, halafu baadae mdogo mdogo uta upgrade gpu.

Tofauti na hapo ni uandae zaidi ya milioni kupata cpu za kisasa za Amd/intel kuanzia Zen 3 ama gen ya 12.

Kwa Laptop

Uhakika kabisa kupata laptop nzuri ni intel Gen ya 10 kupanda ama Ryzen 5 4xxx series kupanda, hizi kibongo bongo nyingi zinaanzia laki 8 hivi, japo unaweza zipata chini ya hapo pia.

Kama unatafuta nje ebay unaweza pata bei chini kidogo.

Alternative ni kutafuta laptop za zamani zenye dedicated gpu, mfano intel gen ya 8 zenye Nvidia gpu.
Mkuu brand new HP ProBook 635 Aero G7 kwa 800k ni sawa??
 
Back
Top Bottom