Bei na tofauti ya laptop na desktop

Bei na tofauti ya laptop na desktop

Attachments

  • Screenshot_20240929-190014.png
    Screenshot_20240929-190014.png
    348.6 KB · Views: 14
Mkuu laptop nzuri kupigia issue za designning( program za arch cad, arc gis, autocad na za mfanao na huo) ipi itanifaa?
cad programs unatumia gaming laptop, per core perfomance kubwa kadri iwezekanavyo na dedicated gpu, budget yako ni kiasi gani?
 
Kwahiyo niichukue mkuu
Kama umekosa laptop ya 5500U sio mbaya, ila ushauri wangu tafuta Machine ya 5500U (series yoyote ya 5000) ama kwa jina jengine 7530U. Online zipo around 1M ila kama unajua kuongea vizuri possible kwa hio budget
 
700000-800000
Minimum tafuta intel gen ya 11 kupanda ama Amd Ryzen 4000 series kupanda.

Zote hizo gpu zake za ndani ni nzuri, ila ikiwa na dedicated gpu hata zile ndogo za Mx series itakusaidia.

Mfano kama hii

Pia jambo jengine muhimu ram hakikisha ina uwezo wa 16GB kupanda. Hata kama ram muuzaji anauza laptop ina 8GB muifungue uhakika ina slot ya kuongeza 8GB nyengine, siku hizi kuna laptop ram zinachomelewa na huwezi kuongeza ram.
 
Minimum tafuta intel gen ya 11 kupanda ama Amd Ryzen 4000 series kupanda.

Zote hizo gpu zake za ndani ni nzuri, ila ikiwa na dedicated gpu hata zile ndogo za Mx series itakusaidia.

Mfano kama hii

Pia jambo jengine muhimu ram hakikisha ina uwezo wa 16GB kupanda. Hata kama ram muuzaji anauza laptop ina 8GB muifungue uhakika ina slot ya kuongeza 8GB nyengine, siku hizi kuna laptop ram zinachomelewa na huwezi kuongeza ram.
Mkuu vp kuhusu hii HP
Minimum tafuta intel gen ya 11 kupanda ama Amd Ryzen 4000 series kupanda.

Zote hizo gpu zake za ndani ni nzuri, ila ikiwa na dedicated gpu hata zile ndogo za Mx series itakusaidia.

Mfano kama hii

Pia jambo jengine muhimu ram hakikisha ina uwezo wa 16GB kupanda. Hata kama ram muuzaji anauza laptop ina 8GB muifungue uhakika ina slot ya kuongeza 8GB nyengine, siku hizi kuna laptop ram zinachomelewa na huwezi kuongeza ram.
Mkuu vp kuhusu HP 820 G3 kwa matumizi ya kawaida?
 
Chief mkawa mkuu naomba ushauri wako,
Kuna Desktop Computer mbili ;
HP ProDesk 600 G1 Intel Core I5 na HP workstation Z420 ipi nichukue.

NB sio za kulipa hela nimepewa, lakini sharti nichukue moja.
 
Chief mkawa mkuu naomba ushauri wako,
Kuna Desktop Computer mbili ;
HP ProDesk 600 G1 Intel Core I5 na HP workstation Z420 ipi nichukue.

NB sio za kulipa hela nimepewa, lakini sharti nichukue moja.
Unaweza ukajua processor zilizopo ndani?
 
Prodesk ; inter(R) core ( TM) i5-4590 CPU @ 3.30GHz 3.30 GHz na work station ni xeon
Hapo kuna mambo mawili.

1. Uchukue hio HP ufanye upgrade kwenda i7 4790 ni cpu nzuri kiasi chake, advantage yake in avx 2.0 itarun app nyingi za kisasa, pia ulaji umeme ni wa kawaida disadvantage yake max ni core 4.

2. Hio Xeon unaweza uka upgrade mpaka core 8 thread 16 cpu kama 1650-1680 v2 ubaya wake inakula umeme kama pasi na hazina Avx.

Binafsi mimi kama unalipa luku mwenyewe na umeme kwako unabana matumizi chukua hio HP yenye i5, kama umeme kwako sio issue chukua hio Xeon.
 
Hapo kuna mambo mawili.

1. Uchukue hio HP ufanye upgrade kwenda i7 4790 ni cpu nzuri kiasi chake, advantage yake in avx 2.0 itarun app nyingi za kisasa, pia ulaji umeme ni wa kawaida disadvantage yake max ni core 4.

2. Hio Xeon unaweza uka upgrade mpaka core 8 thread 16 cpu kama 1650-1680 v2 ubaya wake inakula umeme kama pasi na hazina Avx.

Binafsi mimi kama unalipa luku mwenyewe na umeme kwako unabana matumizi chukua hio HP yenye i5, kama umeme kwako sio issue chukua hio Xeon.
Asante sana Kwa ushauri nachukua ya Kwanza
 
Back
Top Bottom