Friji ni kwa ajili ya matumizi ya familia,Friji nzuri kwa hiyo budget zipo nyng mkuu,
Inategemea na mapendekezo na mazingira yako.
Unataka ya biashara au matumizi ya familia?
Unataka yenye portion ya freezer au friji tupu?
Unataka yenye water dispenser au haina haja ya dispenser?
Unapendelea friji lenye showcase au unataka yenye privacy?
Nasubir jibu mkuu
Vipi mr. Uk ubora wake ukojeAlitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme
Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.
Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.
Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Mm nitaongelea kiufundi zaidiMi nilikuwa na mjibu Aliepost pichA yA homebas brand mkuut
@DeepPond location ya duka lako ndugu.Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme
Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.
Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.
Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Hiyo hiyoHakuna TLC we jamaa.... Kuna TCL
Aende kuuliza wapi?Unataka ushauri jf, umepotea ndugu
Chukua Goodvision au Blackstone, wapo vizuri sana.Okei mfn bajeti ni 500-700k
Iwe na quality nzuri ya picha iwe na uwezo wa kudumu na stressful environment like kukatika umeme, radi pia nch iuanzia 50 kwenda mbele
Sio mzoefu sana kwa hizi mambo mwaya we nishauri tu 😃
LG na Hisense ipi ni mashine hapo....na ubora wa Kila bidhaa upoje hapoAlitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme
Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.
Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.
Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Location ya duka wapi nije kuunga mkono nataka nchi 50Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme
Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.
Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.
Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Mzee Mimi had Leo singsung ipo ofisin kwangu ni bar Ina Zaid ya miaka 9 japo Sasa taa ndiyo inazingua lakin ni mkataba Sana pata picha nimetumia asubuhi had usikunilinunu TV 32inch 2 na pasi mbili za SINGSUNG mwaka 2013 mwishoni
Moja nikampa BI MKUBWA moja nikatumia mm
Mm TV niliuzaga miaka miwili mbele nikanunua SAMSUNG 43"
Lakini pasi ninayo mpk leo
Kwa bi mkubwa TV 32inch pasi na deki yake SINGSUNG mpk leo wanatumia ingawa deki hawatumii sana
Huyo jamaa nilomuuziga mwaka juzi mwishoni walimuibia TV ile akanifata anataka TV SINGSUNG kma niliyomuuziaga nikatafuta sana nikakosa mpk nikakata tamaa
Je hii KAMPUNI siku hizi haipo ama
Mzee Deepond nimeona kuna TV Samsung 42" inauzwa Tsh 420,000/=. Najua ni copy ila naomba uniambie ikiwa copy inazingua zaidi kwenye nini? Nimeuliza kwa sababu sijawahi nunua TV copy ila kwa wakati huu nahisi nitanunua copyAlitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme
Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.
Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.
Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Utajuaje Hisense fake na og mkuuTlc na hisense copy nyng sn mjini
Akienda kichwa kichwa anauziwa copy kwa bei ya OG
HahaaaWalichoharibu HISENSE TM ni tamaa ya kutoa licence tofauti tofauti za assembly
Mfano: sahv tuna hisense za china,uk,south africa na Egypt
Hizi za china na southafrica ndo zina copy nyng balaa sokoni,maana zinapatikana kirahisi na usimamizi wa brand ni mbavu.
Huwez amini kuna Hisense zinafyatuliwa pale chang'ombe,accessories zinaagizwa china, mabox yanaagizwa MASUMIN, assembly na branding inafanyika temeke
Vp kuhusu starxAlitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme
Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.
Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.
Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
Nitakutafuta mkuu43" Led DOUBLE GLASS = 470,000
43" Smart DOUBLE GLASS= 500,000
50 sh ngapi?Inategemea,
Wanatoa kuanzia size 19-55
Vp kuhusu bruhm mkuu!Alitop changamoto sn kwny quality ya picha na kuvumilia umeme
Picha yake ukiongeza brightness, rangi zinapotea, inakua kama vile unaangalia black&white.
Ule umeme wa kukatika na kurudi ghafla alitop hazivumilii, Isipoungua taa za backlight basi itachora mstari.
Kwa uzoefu wangu,
Tv ya bei ndogo isiyosumbua mpk sasa ni GOODVISION, Tangu nmeanza kuziuza 2018 mpk sasa 2023 sijapata kimeo hata moja, hata kwa mafundi sijaona screpa yake hata moja.
32 frameless smart bei gani Goodvision43" Led DOUBLE GLASS = 470,000
43" Smart DOUBLE GLASS= 500,000