The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Wewe ni WA wapi Mzee? Hizo tozo zilishushwa kipindi kile mafuta yaanza kupanda bei..Hii hapa ni summary ya hotuba ya Waziri kuhusu Mafuta. Mnaonaje? Mnaielewa ama tumechezewa tu?
View attachment 2220833
Unapotosha kwa maslahi ya nani? Ukipotosha wewe unanufaikaje?Hii hapa ni summary ya hotuba ya Waziri kuhusu Mafuta. Mnaonaje? Mnaielewa ama tumechezewa tu?
View attachment 2220833
Ndiyo. Walichelewa kulishughulikia na hiki wanachofanya sasa ni too little and too late. Hakuna sababu yo yote kwa nini majirani zetu wawe na bei za chini kuliko sisi wakati wengine ni landlocked....Kama una Toyota starlet, full tank ni lita 45, kwa hiyo utapata nafuu ya Shs1,305 lakini utalipia TSh 141,660. Yaani unasevu asilimia 0.731%
Tatizo la bei za mafuta ni la dunia nzima, ila serikali yetu imelihandle vibaya sana kiasi kuonekana kama viongozi wako arrogant, hawajali. majibu yaliyokuwa yakitolewa na waziri wa nishati na baadaye kurudiwa na Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania yalikuwa ya hovyo sana katika muda ambao raia wanategemea kufarijiwa.
Bora waache kupunguza fambaf zaoHii hapa ni summary ya hotuba ya Waziri kuhusu Mafuta. Mnaonaje? Mnaielewa ama tumechezewa tu?
View attachment 2220833
Hizi 200 - 250 zitakuwa ni kwa lita moja au kila ukienda kuweka mafuta? Si waseme tu kiasi walichopunguza ili watu waelewe? Si kuna kitengo cha mawasiliano huko wizarani? Hata hili nalo ni la kushikiana mashati na kupayukiana mitandaoni humu?Wewe ni WA wapi Mzee? Hizo tozo zilishushwa kipindi kile mafuta yaanza kupanda bei..
Unapotosha kwa maslahi ya nani? Ukipotosha wewe unanufaikaje?
Hizo bei ni za zamani walipunguza hizo tozo mafuta yalipoanza kupanda lakini hazikusaidia kitu..
Punguzo la Sasa litakuwa Kati ya sh.200-250 Kwa ruzuku ya mwezi mmja.
Ndugu yangu unanionea bure tu Mimi.Wewe ni WA wapi Mzee? Hizo tozo zilishushwa kipindi kile mafuta yaanza kupanda bei..
Unapotosha kwa maslahi ya nani? Ukipotosha wewe unanufaikaje?
Hizo bei ni za zamani walipunguza hizo tozo mafuta yalipoanza kupanda lakini hazikusaidia kitu..
Punguzo la Sasa litakuwa Kati ya sh.200-250 Kwa ruzuku ya mwezi mmja.
Hiyo ndio huruma ya Rais... Yaani huwa nasema Mwigulu hamtakii Mama nia njema kwa Watanzania.. Ana penda watu waseme hii nchi imemshinda Mama. Kama Mama halioni hilo acha yamkute yatakayo mkuta.Hivi hawa watu wapo serious kweli na hili swala la mafuta?? kwamba kikao na Rais nso kimepitisha hilo swala?? Siamini hata!!
Una matatizo ya uelewaNdugu yangu unanionea bure tu Mimi.
Hilo ponguzo hapo juu ni sawa kabisa na Julma ya Billion 100 anayoitaka Rais.
Kipindi kile January alipunguza Shilingi 100 kila lita.
Sijui kama tumeelewana hadi hapo.
Sasa ukipunguza 200 au 250 kwenye 3,258 utakuwa umesaidia nini, ikiwa mwanzo bei zilikuwa kwenye 1800......hii inakuwa sawa na kucheza sarakasi...Wewe ni WA wapi Mzee? Hizo tozo zilishushwa kipindi kile mafuta yaanza kupanda bei..
Unapotosha kwa maslahi ya nani? Ukipotosha wewe unanufaikaje?
Hizo bei ni za zamani walipunguza hizo tozo mafuta yalipoanza kupanda lakini hazikusaidia kitu..
Punguzo la Sasa litakuwa Kati ya sh.200-250 Kwa ruzuku ya mwezi mmja.
Kama una Toyota starlet, full tank ni lita 45, kwa hiyo utapata nafuu ya Shs1,305 lakini utalipia TSh 141,660. Yaani unasevu asilimia 0.731%
Tatizo la bei za mafuta ni la dunia nzima, ila serikali yetu imelihandle vibaya sana kiasi kuonekana kama viongozi wako arrogant, hawajali. majibu yaliyokuwa yakitolewa na waziri wa nishati na baadaye kurudiwa na Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania yalikuwa ya hovyo sana katika muda ambao raia wanategemea kufarijiwa.