Bei ya Mafuta kushuka kwa Shilingi 29, Mnaelewaje hapa?

Bei ya Mafuta kushuka kwa Shilingi 29, Mnaelewaje hapa?

Gari yako inakula lita ngapi?

Chukua hizo lita zidisha na 29. Hilo ndilo punguzo lako!

Karibu ulambe asali mkuu kama ukoo wa akina Makamba!
'
20220507_093324.jpg
 
pesa za tozo za simu zitumike kulipia kod za mafuta na bei yake irid kuwa 2500 kwa lta petrol na diesel 2400tsh maana sik hiz sisikii waksema wamekusanya bei gan kwa mwez
 
Kuna mambo yanafurahisha sana, inapanda elfu3, inashuka shilingi 20...
 
Walitoa ruzuku ya bilioni 100, wao hawatakusanya bilioni 102 kwa mwaka, hapo kuna bilioni 2 za ziada.

Ukisema waongeze kiasi maana yake wakatafute pesa nyingine mahala pengine kwa ajili ya kuongeza ruzuku ya bei ya mafuta.
Mkuu ndio wewe ulikuwa unawatetea hawa kijani watakuja na jema!?
Nilikwambia punguzo likizidi ni tsh.100 january na madelu hawajawahi kuwa na akili.
 
Kwenye kugawana pato la Taifa kodi na tozo zilizoko kwenye bei ya mafuta Tanganyika huko ZNZ wanapata mgao wao au la?
 
Nikisema sisi watanzania ni wapumbavu huwa namaanisha, huu upuuzi hauji bure ni kwa sababu viongozi washaona sisi ni wapumbavu hatuwezi fanya lolote, ukiwa mpumbavu usitegemee kuambiwa la maana.
Hahaha....mtu analalamika kuhusu mafuta,huyo huyo kesho anaingia kwenye kituo cha mafuta anaweka
Kwenye chombo chake cha moto!
Anaendelea kulalamika

Ova
 
Hahaha....mtu analalamika kuhusu mafuta,huyo huyo kesho anaingia kwenye kituo cha mafuta anaweka
Kwenye chombo chake cha moto!
Anaendelea kulalamika

Ova
Na bado akikaa pembeni anakwambia mama anaupiga mwingi.

Sisi aliyeturoga kafa.
 
Nadhan amenukuliwa vibaya. Alimaanisha % na si shiling
 
Kuna wazee niliwaambia kuwa kitakachopunguzwa hakiwezi kuzidi shilingi 100, matokeo yake imekuwa 29/- Tsh.

Huu ni mzaha.
 
Unazani hiyo billioni 100 itapunguza Nini?

Fanya 100,000,000,000 gawanya kwa lita wastani wa matumizi ya Mafuta kwa mwezi utapata mlemle.
kwa hiyo kwa akili ya kawaida kabisa unakubali hilo tangazo? hapo ndio watu huanza kufeli kwa kusoma kila kitu juu juu!!!!
  • Tangu lini waziri akatangaza bei ya mafuta kwa lita wakati taasisis husika ipo (EWURA)?
  • Ni wapi Raisi alisema Bil 100 ni punguzo la mafuta kwa mwaka?
 
kwa hiyo kwa akili ya kawaida kabisa unakubali hilo tangazo? hapo ndio watu huanza kufeli kwa kusoma kila kitu juu juu!!!!
  • Tangu lini waziri akatangaza bei ya mafuta kwa lita wakati taasisis husika ipo (EWURA)?
  • Ni wapi Raisi alisema Bil 100 ni punguzo la mafuta kwa mwaka?
Kama huyui kwamba Rais kasema ataweka Billiona 100 June basi achana nami. Kajielimishe kwanza.
 
Serikali ikubali tukaze mikanda

Isimamishe ujenzi wote wa kuendeleza Dodoma

Iuze mali zingine

Ipunguze matumizi,kuanzia misafara yao

Posho zikatwe

Ajira zisitishwe kwa muda

Wapunguze wafanyakazi
Nami naonga hoja, hasa kwenye suala la ujenzi wa mji wa Dodoma pamoja na ajira hizi zinafaa kusimama adi 14/10/2024
 
Back
Top Bottom