Bei ya Mafuta kushuka kwa Shilingi 29, Mnaelewaje hapa?

Bei ya Mafuta kushuka kwa Shilingi 29, Mnaelewaje hapa?

Binafsi nikimwona February na Chemba bado wapo barazani naona ni Bora niende Ukraine nikatoe msaada
Arrogance ya Mwigulu Nchemba na January kwa Watanzania itashughulikiwa na Mwenyezi Mungu tu. Kiburi cha wawili Hawa kimesabasha Wananchi kumchukia Rais Wetu.
 
Serikali ikubali tukaze mikanda

Isimamishe ujenzi wote wa kuendeleza Dodoma

Iuze mali zingine

Ipunguze matumizi,kuanzia misafara yao

Posho zikatwe

Ajira zisitishwe kwa muda

Wapunguze wafanyakazi
Na mavieite yawekwe kwa park !! L/cruiser hard top zinatosha !!
 
Hii hapa ni summary ya hotuba ya Waziri kuhusu Mafuta. Mnaonaje? Mnaielewa ama tumechezewa tu?
View attachment 2220833
Acha kupotosha kama hujui kusoma ondoka humu jamvini syo kijiwe cha kawaha hapa.

Hizo punguzo ni zile za mwaka jana Oktoba ambapo serikali ili forego 102b . sasa unaleta ugwadu hapa wakati bajeti ya wizara ya nishati bado haijasomwa. Hiyo ni kauli ya waziri kuhusu hatua zilizokwisha kuchukuliwa hapo awali na ambazo hazikuweza kuleta unafuu
 
Mungu aendelee kuufanya moyo wa Pharaoh kuwa mgumu ili apate kuwakomboa wana wa Israel wapate,
 
Serikali ikubali tukaze mikanda

Isimamishe ujenzi wote wa kuendeleza Dodoma

Iuze mali zingine

Ipunguze matumizi,kuanzia misafara yao

Posho zikatwe

Ajira zisitishwe kwa muda

Wapunguze wafanyakazi
Ovyo kabisa kisa mafuta kila kitu kiwekwe rehani...?
 
Makamba kama waziri alitoa sh 100 akatukanwa sana na sukuma Gang, sasa imetolewa sh 29. Sijui itakuwaje.
 
Siku zote Nchi yetu watu wenye power ya ki-dictate chochote katika Nchi.
1.Rais
2.Waziri Mkuu

Sasa ukiangalia Backgrounds za hawa viongozi 2,SAMIA na MAJALIWA-haya ni matatizo makubwa kwao-maana hata knowledge ya haya mambo ya kiuchumi ni misamiati kwao.
Wote ni walimu
 
Hii hapa ni summary ya hotuba ya Waziri kuhusu Mafuta. Mnaonaje? Mnaielewa ama tumechezewa tu?
View attachment 2220833
Umefikiria sana na kuja na tafsiri yako ya namna ulivyofikiri...

Lakini mimi nafikiri tofauti na wewe, kwamba;

1. Hiyo jumla ya tozo ya Tshs bilioni 102 zinazoondolewa na serikali ni sehemu ya nafuu inayotengenezwa na serikali kwa wananchi...

2. Ukijumuisha na subsidize/ruzuku ya Tshs bilion 100 inayoanza kutolewa na serikali kama walivyosema kuanzia 1 Juni, 2022, maana yake serikali itabeba gharama ya wananchi wake ya jumla ya Tshs bilioni 202..

3. Mpaka hapo, kama mtazamo wangu uko sahihi, basi ukikokotoa bei mpya, inawezekana ikapungua kwa kati ya Tshs 350 na 600 kwa lita...!!

## Hii ndiyo tafsiri yangu mimi...
 
Siamini, pia naamini waliojadili kutoa ruzuku kwenye mafuta wanaakili, watu wazima,wanauelewa kuwa bei lazima ishuke kwa TSH500-1000, vinginevyo wasingejadili kabisa kuhusu ruzuku!
 
Sasa nimeelewa. Zile bilioni 100 ndio hizo za kupunguza makali ya bei ya mafuta. Kwa hiyo basi hakuna sababu ya kusubiri punguzo la bei ifikapo June Mosi. Kwa jinsi taratibu za EWURA zilivyo bei hiyo ya June itapandishwa ifikapo Julai Mosi na mambo yataendelea kama kawaida. Nasema hivyo kwani sioni bei ya mafuta ghafi kupunguzwa hivi karibuni.
 
Umefikiria sana na kuja na tafsiri yako ya namna ulivyofikiri...

Lakini mimi nafikiri tofauti na wewe, kwamba;

1. Hiyo jumla ya tozo ya Tshs bilioni 102 zinazoondolewa na serikali ni sehemu ya nafuu inayotengenezwa na serikali kwa wananchi...

2. Ukijumuisha na subsidize/ruzuku ya Tshs bilion 100 inayoanza kutolewa na serikali kama walivyosema kuanzia 1 Juni, 2022, maana yake serikali itabeba gharama ya wananchi wake ya jumla ya Tshs bilioni 202..

3. Mpaka hapo, kama mtazamo wangu uko sahihi, basi ukikokotoa bei mpya, inawezekana ikapungua kwa kati ya Tshs 350 na 600 kwa lita...!!

## Hii ndiyo tafsiri yangu mimi...
Mkuu 102 bilion ni ile aliyofanya mwezi okt 2021, alikua anaelezea jinsi ambavyo waliondoa tozo ambazo hazikuweza kusaidia ndo akaainisha kiasi walichopunguza kwa kila aina ya mafuta.
Punguzo halisi litafanyika wakati wa hotuba ya bajeti ya wizara husika
 
Makamba kama waziri alitoa sh 100 akatukanwa sana na sukuma Gang, sasa imetolewa sh 29. Sijui itakuwaje.
Acheni kukariri someni ndo mjadili.
29 ni ktk zile 102 alizopunguza okt 2021, tafuteni hotuba acheni kukaa humu kama wajinga na kudandia mambo kijinga
 
Back
Top Bottom