Nakumbuka tu alivyokuwa amepiga nne eti anawasikiliza wawekezaji wa kwenye gas anataka mchakato uanze haraka sana tumechelewa.
Inventory planning ya kuagiza mafuta kuelezea anaona anatoa somo gumu kweli watanzania kumuelewa. Sasa huko kwenye gas ambapo kuna scenarios za inflation, probability za return za low, medium na high kutokana external environment factor hizo hizo za mafuta only this time watu wanataka chao inabidi nchi ikose mapato, sensitivity analysis ya kupanda na kushuka bei za gas, weighted average costs of capital, capital structure ya hiyo $30 billion imetokea wapi, deal za interet na nonsense kibao za finance kuzi-mention hadithi ndefu.
Bi Tozo anakwambia January Makamba ndio mtu sahihi wakuratibu zoezi la uwekezaji wa uchimbaji wa gas na January mwenyewe anaongea hadharani confidently hilo jukumu analimudu.
Waliokuwa wanadengua kwenye huo uwekezaji hawakuwa wapuuzi it’s part of the negotiation tactic ata ikichukua miaka 10 muhimu ni mkataba sahihi na wenye tija, unataka wao wakubembeleze kama Museveni alivyowafanyia kwa kuweka demands sio wewe ubembeleze; huo mkataba wa mafuta autowekwa hadharani kamwe kwa jinsi tulivyoingia kichwa kichwa.
Inventory ya mafuta na stabilisations ya prices shida, halafu anataka kujifanya mjuaji kwenye mikataba ya uchimbaji wakati hakuna anachojua zaidi ya local content sijui nani aliwaambia hizo ndio ‘nitty gritty’ za mkataba wenyewe, binafsi nilipomuona na wawekezaji nikawa najiuliza hivi anaongea nini kuhusu mikataba mtu mwenyewe clueless.
Nchi inauzwa in Ndugai’s voice.