dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Bei ya Jana tu katk soko la mapinduzi jijin DSM Bei ya mazao yameanza kuporomoka had mchele HV Sasa Ni 2800 na maharage nayo hyoWapi maharage ni chini ya 2800
Bei ya Jana tu katk soko la mapinduzi jijin DSM Bei ya mazao yameanza kuporomoka had mchele HV Sasa Ni 2800 na maharage nayo hyo
Mkuu sifagilii hi serekali hii ila nasema ninacho ona na kusikiaa siyo sawa kudanganya umma kuwa Bei ya mahareg imegota 4200 haijawai tokea
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wapi huko mkuu?Hakuna bei flat Kwa nchi nzima.
Hapahapa Tanzania kuna sehem maharage ni Chini ya 2800 kg .
Weka na mahali 2800Hakuna bei flat Kwa nchi nzima.
Hapahapa Tanzania kuna sehem maharage ni Chini ya 2800 kg .
Kwa mfano wapi?Hakuna bei flat Kwa nchi nzima.
Hapahapa Tanzania kuna sehem maharage ni Chini ya 2800 kg .
Inafanyika kampeni kubwa sana ya kujaribu kuwaaminisha watu kuwa awamu ya sita imefanya miujiza. Magazeti karibu yote, radio, tv nk wanaimba mapambio. Kiuhalisia hali ya maisha imekuwa mbaya sana kipindi hiki sababu kubwa ni kuongezeka kwa kasi ya ufisadi na mafisadi papa kuwa sehemu ya utawala wa awamu ya sitaAma kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.Huu ndiyo uhalisia wa hali zilivyo katika nchi hizi mbili.Ukiachilia mbali swala la mfumuko wa bei, Nina uhakika endapo haya yanayotokea katika shirika la TANESCO na kutesa wananchi kwa migao ya umeme kila kona lingetokea kwa majirani zetu, tayari baadhi ya watu wangeshawajibishwa na umma, Achilia mbali maji, huduma za afya,elimu, miundombinu, ulambaji asali n.k
Lakini cha kushangaza watanzania wako busy na kusifu na kuimba mapambio ya kupongezana kana kwamba sasa Tanzania ni New York kubwa 😄.
Ni mwendo wa kupongezana na kusifiana tu! Tanzania mbele kwa mbele!
Na anatamani aendelee hadi 2030Hamna kitu kinanikera et kumpongeza mtu kwa kazi aliyoitaka mwenyewe kwa nguvu zote na bado asifanye yaliyotarajiwa alafu mkeshe mkisifia kisa ni utamaduni.... bladenfaka...
Hizi mamb zilianza kushamir awamu ya tano, kias kwamb ilifikia ukisifia san na unapewa zawad ya uongoz!! Mamb za hovyo kbs!!Hamna kitu kinanikera et kumpongeza mtu kwa kazi aliyoitaka mwenyewe kwa nguvu zote na bado asifanye yaliyotarajiwa alafu mkeshe mkisifia kisa ni utamaduni.... bladenfaka...
Nilitaka kumuambia hivyo hivyo. Maharage bei ya leo unapata mpaka kwa sh. 2500. quality imezingatiwa.Hakuna bei flat Kwa nchi nzima.
Hapahapa Tanzania kuna sehem maharage ni Chini ya 2800 kg .
Shetani wetu wa Pekee yetuAma kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.Huu ndiyo uhalisia wa hali zilivyo katika nchi hizi mbili.Ukiachilia mbali swala la mfumuko wa bei, Nina uhakika endapo haya yanayotokea katika shirika la TANESCO na kutesa wananchi kwa migao ya umeme kila kona lingetokea kwa majirani zetu, tayari baadhi ya watu wangeshawajibishwa na umma, Achilia mbali maji, huduma za afya,elimu, miundombinu, ulambaji asali n.k
Lakini cha kushangaza watanzania wako busy na kusifu na kuimba mapambio ya kupongezana kana kwamba sasa Tanzania ni New York kubwa [emoji1].
Ni mwendo wa kupongezana na kusifiana tu! Tanzania mbele kwa mbele!
NOTE: Kuna wanaoponda ila kupanda bei maharage ni mfano tu, hapa nazungumzia kupanda bei bidhaa kiujumla, pamoja na mambo mengine ya hovyo yanayoendelea kama migao ya umeme,maji n.k
Nanyie muandamaneWatanzania wamelogwa na Nyerere,then mwingi,Mkapa,then Kikwete,Makufuli, na Samia under CCM from 1961 bado structure ya ukoloni ni ileile Unategemea nini kila kitu Rais Rais tunataka katiba ambayo tutamchagua mkuu wa wilaya,mkurugenzi,mwalimu mkuu,Jaji mkuu na viongozi wengine hatutaki mfumo ambao Rais anatuletea shoga kuwa mkuu wa wilaya hatutakiiiiiiii
Hakuna bei flat Kwa nchi nzima.
Hapahapa Tanzania kuna sehem maharage ni Chini ya 2800 kg .