Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Iyo ni uongooKg 1 Mchanganyiko = 6000
Kg 1 Steki = 7000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iyo ni uongooKg 1 Mchanganyiko = 6000
Kg 1 Steki = 7000
Naona muuliza swali, hahitaji wapi tunaishi the ila bei ya nyamaWatu wanaogopa kutaja wanapo ishi kwa nini?
Huyo atakua ni snoopyIringa kilo buku jero, ila sina hakika kama ni ng'ombe au snoopy.
Muulizaji shida yake bei ya nyama sio maeneo gani tunaishiWatu wanaogopa kutaja wanapo ishi kwa nini?
Haiwezekani iwe inaikaribia kitimoto wallahi..!!Habari Wakuu?
Leo nimeenda buchani jijini la dasalamaa. Nikakuta bei ya nyama kilo moja ni elfu 12.
Je huko kwenu ni kiasi gani?
Ikumbukwe Tanzania ni nchi ya 3 kuwa na ng'ombe wengi Africa.
Christmas itakuwaje?
Mama ana ......................
Kwamba ununu steki kwa elfu 7..!!Kigoma mjini 7000/ tena una bembelezwa na kupewa ahadi ya kupunguziwa mifupa
Huku wapi?.Kg 1 Mchanganyiko = 6000
Kg 1 Steki = 7000
9000Habari Wakuu?
Leo nimeenda buchani jijini la dasalamaa. Nikakuta bei ya nyama kilo moja ni elfu 12.
Je huko kwenu ni kiasi gani?
Ikumbukwe Tanzania ni nchi ya 3 kuwa na ng'ombe wengi Africa.
Christmas itakuwaje?
Mama ana ......................
14000 pembaHabari Wakuu?
Leo nimeenda buchani jijini la dasalamaa. Nikakuta bei ya nyama kilo moja ni elfu 12.
Je huko kwenu ni kiasi gani?
Ikumbukwe Tanzania ni nchi ya 3 kuwa na ng'ombe wengi Africa.
Christmas itakuwaje?
Mama ana ......................
Kitimoto bei gani?Haiwezekani iwe inaikaribia kitimoto wallahi..!!
Mhhhh!Huku wapi?
Sizitaki hizi mbichiTule mchicha tu kwanza nyama sio nzuri kiafya.