Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee mbona nimeshakula - Sirudii tenaKibudu hiyo! Pale Mwisho wa lami kuna eneo linaitwa nyama choma, mapema tu saa 12 na nusu supu ya kuku na ng'ombe tayari, kuna siku afrajili moja nikakuta anapakiwa ng'ombe mfu kwenye carry, nikabaki na maswali kichwani...Mjini mipango.
Hapana kula kaka, hakupelekwa hapo.Aisee mbona nimeshakula - Sirudii tena
Pilau ndio chakula ya sikukuu huku uswaz, unashauri pilau ya mchicha ama sijakupata vizuri
Ni mwendo wa rastafarian.Ni mwendo wa Majani tuu🤣🤣🤣
Kama naona kuku zinavyopotea mtaaniiiHabari Wakuu?
Leo nimeenda buchani jijini la dasalamaa. Nikakuta bei ya nyama kilo moja ni elfu 12.
Je, huko kwenu ni kiasi gani?
Ikumbukwe Tanzania ni nchi ya 3 kuwa na ng'ombe wengi Africa.
Christmas itakuwaje?
Mama ana ......................
Habari Wakuu?
Leo nimeenda buchani jijini la dasalamaa. Nikakuta bei ya nyama kilo moja ni elfu 12.
Je, huko kwenu ni kiasi gani?
Ikumbukwe Tanzania ni nchi ya 3 kuwa na ng'ombe wengi Africa.
Christmas itakuwaje?
Mama ana .............
Hiyo ndo Bei maeneo mengi,tupige tuu fish na kuku sasaHabari Wakuu?
Leo nimeenda buchani jijini la dasalamaa. Nikakuta bei ya nyama kilo moja ni elfu 12.
Je, huko kwenu ni kiasi gani?
Ikumbukwe Tanzania ni nchi ya 3 kuwa na ng'ombe wengi Africa.
Christmas itakuwaje?
Mama ana ......................
Mimi huu mwaka tangu umeanza mpaka sijanunua nyamaTule mchicha tu kwanza nyama sio nzuri kiafya.
Hii ni nzuri mwili unakuwa kwenye balance yake inayotakiwa .Mimi huu mwaka tangu umeanza mpaka sijanunua nyama
Fuatilia taarifa za uchumi vizuri, kuna kitu huenda unakosaTatizo sio kua na ng'ombe wengi tatizo ni shilling ya Tanzania inashuka thamani kwa kasi....shilling 10,000 kwa sasa huwezi kuacha nyumbani kwa mke na watoto wawili ukichelewa kurudi nyumbani usiku hawali kwasbb haitoshi milo miwili.
14000🙄🙄Habari Wakuu?
Leo nimeenda buchani jijini la dasalamaa. Nikakuta bei ya nyama kilo moja ni elfu 12.
Je, huko kwenu ni kiasi gani?
Ikumbukwe Tanzania ni nchi ya 3 kuwa na ng'ombe wengi Africa.
Christmas itakuwaje?
Mama ana ......................