Jackson94
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 492
- 560
Siyo uongo ni kweli kabisa, huku ni pesa yako tu tena tunanunua huku tunabembelezwa,Iyo ni uongoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo uongo ni kweli kabisa, huku ni pesa yako tu tena tunanunua huku tunabembelezwa,Iyo ni uongoo
Tshs. 12,000/- mpaka 14,000/- kwa Dar. inategemea na chimboKitimoto bei gani?
Nipe location niende au upo Pawaga kwa wamasai wanauza kibudu!Iringa kilo buku jero, ila sina hakika kama ni ng'ombe au snoopy.
Wacomoro wameharibu hadi biashara ya mbuzi, last week nilienda Pugu mnadani ila bei zake hazishikiki, unakutana na Wacomoro wana vibegi vya pesa wakilangua mbuzi kwa bei ya juuNaskia changamoto ni kufungua soko la biashara ya ng'ombe Comoro.kipindi cha Jiwe yeye aliataka wauziwe nyama tu ili bidhaa nyingine inayotokana na ng'ombe iongeze thamani.Ila utawala SASHA wanunuzi wa kikomoro wanakwenda mpaka minada ya ndani huko
Wapo huko..Kg 1 Mchanganyiko = 6000
Kg 1 Steki = 7000
Tule mchicha tu kwanza nyama sio nzuri kiafya.
Wapi huko8000 kilo
8000 Kanda ya ziwaHabari Wakuu?
Leo nimeenda buchani jijini la dasalamaa. Nikakuta bei ya nyama kilo moja ni elfu 12.
Je huko kwenu ni kiasi gani?
Ikumbukwe Tanzania ni nchi ya 3 kuwa na ng'ombe wengi Africa.
Christmas itakuwaje?
Mama ana ......................
Mimi ni mtu mwema ndugu! Kipi umefanya kibaya hadi unaogopa hivyo?..Mhhhh!
Kumbuka hapa tunatumia ID Fake sasa inakuwaje unataka nikwambie nilipo?
Shinyanga vijijini yangu.Wapi huko
Huku dar maeneo mengi inaanzia 10000Shinyanga vijijini yangu.
Kibudu hiyo! Pale Mwisho wa lami kuna eneo linaitwa nyama choma, mapema tu saa 12 na nusu supu ya kuku na ng'ombe tayari, kuna siku afrajili moja nikakuta anapakiwa ng'ombe mfu kwenye carry, nikabaki na maswali kichwani...Mjini mipango.Nimetoka kununua kilo moja 6000 huku ilala bungoni