Bei ya petroli Zanzibar ni Tsh 2600 kwa lita. Bara bei ipo juu zaidi

Bei ya petroli Zanzibar ni Tsh 2600 kwa lita. Bara bei ipo juu zaidi

Mpaka kufika 2025 Zanzibar itakuwa inaidai Bara Mabilioni ya pesa.
 
Controller ni waziri wa fedha.
Justificator ni waziri wa nishati.
 
Marehemu Mtikila alipokuwa anaidai Tanganyika tulimwona boya......haingii akilini mzanzibari anaongoza na serikali ya Tanganyika wakati hakuna mtanganyika anayeruhusiwa kuongoza zanzibar.
 
Jamaa wamepewa ongezeko la 15% kwenye mshahara na imetamkwa waziwazi. Ila bara tunaambiwa eti mpk sijui wapige hesabu, kwa kweli watanganyika tunanyanyasika kwenye nchi yetu ajabu sana hii
 
Iko wap? Na Rais wake nani?
mtu akisema kuanzia sasa mkono wako wa kulia utaitwa “mguu wa begani” haitamaanisha mkono wako wa kulia haupo tena..

seriikali ya Tanganyika ipo, na kwa sasa haina Raisi halali.
mtu akiamua kuiita majina yasiyo na mantiki kama serikali ya jamuhuri ya muuangano ni yeye tu....

Ukweli nikua muungano upo kwenye baadhi ya mambo tu.
yasiyo ya muungano kwa upande wa Tanganyika yapo chini ya seriikali ya Tanganyika ambayo imepewa jina “fake” la serikali ya jamuhuri wa muungano wa Tanzania..

Ukitaka kuiua seriikali ya Tanganyika basi badilisha muungano uwe wa serikali moja na raisi mmoja, na sio kuibadilisha jina tu..
 
mtu akisema kuanzia sasa mkono wako wa kulia utaitwa “mguu wa begani” haitamaanisha mkono wako wa kulia haupo tena..

seriikali ya Tanganyika ipo, na kwa sasa haina Raisi halali.
mtu akiamua kuiita majina yasiyo na mantiki kama serikali ya jamuhuri ya muuangano ni yeye tu....

Ukweli nikua muungano upo kwenye baadhi ya mambo tu.
yasiyo ya muungano kwa upande wa Tanganyika yapo chini ya seriikali ya Tanganyika ambayo imepewa jina “fake” la serikali ya jamuhuri wa muungano wa Tanzania..

Ukitaka kuiua seriikali ya Tanganyika basi badilisha muungano uwe wa serikali moja na raisi mmoja, na sio kuibadilisha jina tu..
Mfano mbovu ulotoa.

Kuna vitu viwepo ndio viunde nchi/serikali.
Rais wa Tanganyika nani?
Waziri Mkuu wa Tanganyika nani?
Bunge la Tanganyika liko wapi?
Mahakama kuu ya Tanganyika iko wapi?
Jeshi la Tanganyika liko wapi?

Vuta shuka mapema kabla hakujakucha
 
Back
Top Bottom