AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
NAOMBA MODS WAIONE HII COMMENT YAKO...Uzi Mzuri Sana lakini Inabidi Header ivutie Serikali.
"Motel na Ukwepaji Kodi"
"TBS Tembeleeni Motels, Hazijali Afya zetu"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAOMBA MODS WAIONE HII COMMENT YAKO...Uzi Mzuri Sana lakini Inabidi Header ivutie Serikali.
"Motel na Ukwepaji Kodi"
"TBS Tembeleeni Motels, Hazijali Afya zetu"
Sizungumzii kula ovyo njiani...Ukitoka nyumbani utoke umeshiba na ubebe chakula chako hasa bites,tabia ya kula ovyo njiani tena safari ya masaa pungufu ya kumi ni ushamba
Wakati mwingine lets be positive, CCM inamiliki hizo Motel?Ccm ndio chanzo cha yote haya
Tuko uchumi wa kati.Ki ukweli bei ni kubwa sana wananyanyasa watz wanyonge wengi sana
Ile bei yao wamejipangia...Ki ukweli bei ni kubwa sana wananyanyasa watz wanyonge wengi sana
Pale wanalipa kodi za kawaida tu, ila kwakuwa hawana risiti ya efd...KODI HAWALIPI NA BEI YA CHAKULA SIO ELEKEZI...Umeleta mada ya maana sana, kweli ni waghali sana na kuhusu kodi sidhani kama wanalipa
Serikali iwamulike
Ni kweli baadhi ni za wakubwa serikaliniZa haohao unaowashtakia.
Kutia ndani Ma-Bwana/Bibi afya wa sehemu husika.Uzi Mzuri Sana lakini Inabidi Header ivutie Serikali.
"Motel na Ukwepaji Kodi"
"TBS Tembeleeni Motels, Hazijali Afya zetu"
Mambo ya kula-kula hovyo njiani!!!Jifunze kula vyakula ambavyo unajua hata kama vikilala hakuna tatizo. Mimi kwenye hizo motels nitanunua
1. Chai ya rangi (sio maziwa)
2. Matunda (sana sana apple naosha mwenyewe nakula)
3. Soft drinks (soda)
4. Red bull
5. Biscuits
Ukiona wewe kusafiri mpaka ule chipsi na mishkaki aisee utakuwa una ulafi mkubwa sana.
I concur with you. They are reckless, ignorant and arrogant from the top to the bottom.Ccm ndio chanzo cha yote haya
Hizo biscuts tu angalia vizur expire date uone muda wake.Jifunze kula vyakula ambavyo unajua hata kama vikilala hakuna tatizo. Mimi kwenye hizo motels nitanunua
1. Chai ya rangi (sio maziwa)
2. Matunda (sana sana apple naosha mwenyewe nakula)
3. Soft drinks (soda)
4. Red bull
5. Biscuits
Ukiona wewe kusafiri mpaka ule chipsi na mishkaki aisee utakuwa una ulafi mkubwa sana.