Ingependeza zaidi mtu ale biscut na maji kwa sababu zake binafsi si kwasababu kashindwa kulipia chakula au ni kibovu.Kuna mgahawa mmoja maeneo ya mayoni asee nilikuwanatoka iringa, msosi kidogo afu umepoa bei sasa kaki yako mkooni asee, anzia hapo mi ni maji na keki na fegi basi
Lakini mkuu inabidi tuwaze jinsi ya kutatua hili tatizo. Kama ulozi umetawala basi serikali ichukue hatua maana serikali haina dini na hailogeki.Mkuu nimesafiri sana kuanzia njia ya mwanza-dar, dar-mtwara mpk mbeya uko naweza sema hoteli mbovu kupita zote ni Nangurukuru asee nliwai fikilia niamzishe hotel maeneo ayo kwa kuweka Hotel na huduma zote za muhimu sema nlipigwa bit na kutishiwa mambo ya kuuliwa kwa ulozi
Kilwa ni moto kwa mambo ya Ndumba
Pale hotelini soda take away 2000 chips kavu mshikaki mmoja 5000
Wahudumu wachafu chafu, samaki wabovu wanafunza na wanalala, chakula kingine kibaya hakina ladha kabisa, viazi avimenywi vikaisha maganda asee bale ni balaa nliapia sitokuja kula pale so nkitoka zangu nyumbn uwa nafungasha kabisa mahala ambapo nakua free kula ni hotel za Kilimanjaro express tu maana kuchimba dawa tu 30dk chakula uwa napata pale chips nyama ya mbuzi elfu 7000 yangu naenjoy na soda au maji nliyopewa kwenye gari
Stand tena! Nani atawalipa hela,wakati wakipeleka bus hotelini wanalipwa 30,000 Mpaka 40,000.Kwa kila Trip tena wanalipwa Advance hata laki Tano na kuendelea kisha kila akiingiza bus hesabu inapunguzwa kama Ni 30,000 au 40,000 elfuBasi Kama ni soko huria kwanini wasipaki stand tukanunua kwenye hotel nyingi hapo stand. Bado mtoto wa mama kwa namna unavyojibu
kuna kasema hii chai. nataman siku moja awepo ktk msafara wetu aone waliovurugwa kuliko mimi
Wengine hua wananunua vyakula kama showoff , watu wajue kanunua kuku chipsi na mishkaki, kwahio lazima aende na wakati kwanini ale mkate na wengine age yake wale kuku na chipsi, peer pressure inachangia
Hotelini Bei lazima iwe juu ili wafidie hela wanazotoa kwa MaderevaNlitaka niliandikie Uzi hili nashukuru mkuu umeuleta bei imekuwa ni mateso, sio wote tunasafiri tunaweza kuafford gharama ya namna ile wengine tunasafiri sababu ya matatizo. Garama za hizo hotel ipo juu mno mno
fresh tunalindana lakini sasa kuwe na huduma nzuri na bei inayoendana na hali ya kimaisha kwa sasa, unakuta chakula elfu 5 yani hata mwenyewe unayetoa ile pesa roho inauma. wasafiri mnaelewa. ukila chakula kina mawili kikuzingue au utoboe, vyakula vimelala tunapashiwa dah kmake! ndo hivyo kama unaweza kutembea na hotpot fanya hivyo vinginevyo hayo ndio maisha ya kila siku barabarani, ukiwa mroho unalishwa hata mbwa kwa pesa yako mwenyewe.Stand tena! Nani atawalipa hela,wakati wakipeleka bus hotelini wanalipwa 30,000 Mpaka 40,000.Kwa kila Trip tena wanalipwa Advance hata laki Tano na kuendelea kisha kila akiingiza bus hesabu inapunguzwa kama Ni 30,000 au 40,000 elfu
Soda tu nakuchimba dawa ee?Mimi mpaka leo nikisafiri na maza,anapika chips na nyama ya kukaanga
Huko njiani ni soda tu
Inabidi sasa uvumilie. Kama safari ni chini ya masaa 12 unaweza usile kitu.Tatizo mimi naumwa,hua nikila hizo biscuits au chochote chenye unga wa ngano tumbo linasumbua
Ni kweli kabisa! sitathubutu tenaPole Sana mdau, hapo Liverpool usirudie tena kula chochote ni wachafu sana.
πππππππHahaha pole sanaaa[emoji1787]
Mimi hiyo ya kuhara haijawahi kunikuta,ila watu wana moyo
Kule kasuru,uvinza ukienda ,mishkaki inauzwa kwenye stand yenye vumbi na watu wanakula tu
sawa kabisa....wengine ndio tunaendesha maisha yetu.....wewe unasafiri kaanga chapati zako na maji jifungashie...soko huria..hulazimishwi kununua.......mbona kwenye mahoteli makubwa bei ni ghali hatusemi....Soko huria, serikali ikipanga bei za mazao tunailalamikia, wacha soko lipange bei, ni fursa pia kwa wanaotaka kuuza cha kula kwa bei ndogo wakafungue mahoteli ili ushindani uwe mkubwa.
Mwisho kabisa sio lazima kula njiani, nunua maji na korosho za kutosha utakula unapoenda kama una watoto mwambie mama yeyoo awapakilie vyakula.
Ukajikuta mjanja mwenyewe ulivyotucheleweshaMie sili chips safarini, nilishawahi kupatwa na masahibu. Nilitoka Moshi kwenda Dar, tulivyofika Mombo tukaingia kula hoteli inaitwa Liverpool, nikala viwepe na mishikaki. Uwiiiiii yaani hata hatujafika mbali, tumbo likaanza kuuma, mharo unataka kuchomoza.
Nikawaza, nikimwambia konda nataka "kuchimba dawa" atasema hilo zoezi ilikuwa lifanyike hotelini tulipokula. Basi bwana akili ikaja ya ziada, nikamwendea konda, nikamdanganya kuwa NIMEANZA KU BLEED GHAFLA hivyo wasimamishe gari nikajisetiri, hahahaha, konda kusikia hivyo akamwambia dreva, gari ikasimama nikaenda kwenye hoteli mshenzi mshenzi, nikahariiiiiiishaaaaaa mpaka basi!
π π π π π π π π π π π π π π π πUkajikuta mjanja mwenyewe ulivyotuchelewesha