42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Yaani mimi kula chakula ambacho sijui kimepikwaje hapana aiseeeeBora unywe juice na eat somemore (biscuit).
Barabarani unaweza uziwa vibudu na nyama za walinzi (dog) bila kujua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mimi kula chakula ambacho sijui kimepikwaje hapana aiseeeeBora unywe juice na eat somemore (biscuit).
Barabarani unaweza uziwa vibudu na nyama za walinzi (dog) bila kujua.
Kwamba kilo moja elfu tatu,nusu kilo elfu moja mia tano? Yaani kitimoto iwe bei rahisi hivyo kushinda hata maharage? Mzee hebu ukitaka kutudanganya ujipange maana humu sisi sio watoto wadogo wala FacebookNdio maana mimi huwa nakaanga kitimoto kabisa cha kula njiani. Najua nitanunua soda au maji tu. Elfu sita huku kwetu unapata kitimoto kilo 2
Mimi nimewahi safiri nikipokula tu Dodoma tumbo likanisumbua afu derevq anazingua nilienda hadi pale kwake nikamwambia namaliza hapa hapa. Mbona alisimamisha gari nikaenda maliza shida ya tumbo na safari nikaishia njianiMmmmh Dar to Mwanza tulitoka Ubungo saa 12 asubuhi kufika saa 5 usiku... Hiyo sasa ni zaidi ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani...
Nirewedi, ja hako?Mkuu hilo jina lumenikumbusha mbali.... Urewedi??
Mnakula umbwa..Msamvu wali nyama ni 4000 .
Watu walimaindi sana ila ndo hivo tena tumbo likipanga hakuna wa kupangua😁😁[emoji16][emoji16][emoji16]raia hawakumshambulia kweli?
Hakushuka hata kujisafisha na kubadilisha nguo?Watu walimaindi sana ila ndo hivo tena tumbo likipanga hakuna wa kupangu[emoji16][emoji16]
Mimi nimewahi safiri nikipokula tu Dodoma tumbo likanisumbua afu derevq anazingua nilienda hadi pale kwake nikamwambia namaliza hapa hapa. Mbona alisimamisha gari nikaenda maliza shida ya tumbo na safari nikaishia njiani
Gari ilisafishwa ila hakuendelea na safari, nadhani alihitaji kupumzika na kupata dawa.Hakushuka hata kujisafisha na kubadilisha nguo?
Safari ilikuwaje?
Mkuu kumbe tunazungumza lugha mojasinunui chochote zaidi ya kuvuta sigara na kunyoosha miguu
Dooohhhh.. Aibu ilioje[emoji16]Kuna mzee ilikua ni New Force ya mbeya alijistiri humo humo ndani ya Basi, gari ilibidi isimame harufu ilitawala halaf mzee kajikausha tu, nadhani ilikua siku mbaya sana kwa yule mzee.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ulitumia mbinu za kijeshi hahahahhhh...
kitu pekee ambacho huwa kinanipa shida kwenye safari ni mkojo tu... na hiyo ni kama tu safari yangu inaanzia sehemu ambako kuna baridi... labda njombe to dar au mbeya to dar...
Huwa sina tabia ya kula vyakula vilivyopikwa njiani...
Seat yake sidhan kama alikaa mtu tena ..hata yule wa pembeni yake nae[emoji16][emoji16][emoji16]Gari ilisafishwa ila hakuendelea na safari, nadhani alihitaji kupumzika na kupata dawa.