Bei za bati na bati imara ni zipi kutoka kampuni gani?

Bei za bati na bati imara ni zipi kutoka kampuni gani?

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
530
Reaction score
1,446
Hatarini za majukumu wana JAMIIFORUMS nimeandika uzi huu kuulizia au kujua bati imara na nikampunigani ya kuzalisha bati hapa nchini ina toa bati imara na inayodumu kwa muda mrefu bila kupauka.

Kumekuwepo utitiri wa viwanda vingi, hofu ni kwamba uzalishaji wake katika bidhaa zao ni wa mashaka.

Mfano; kuna kampuni moja niliwahi kufanya nao biashara pc kama 200 nilicholetewa zile zilikuwa siyo bati ni karatasi aisee nilijuta kufanya biashara na wale jamaa pamoja na kwamba walitoa kiwandani ila uchakachuaji ni levo nyingine huenda wamesomea kufanya vitu chini ya kiwango.

Kwa mafundi na wataalamu wa mabati kampuni ipi inazalisha bati nzuri na kwa bei ya kawaida, maan sisi wengine siyo tunaunga unga ndio maana nikasema bei rafiki ili niimudu kwa bajeti yangu niliyonayo.

Nahitaji bati 108 nyeupe G30 kwenye kazi hii
 
Hatarini za majukumu wana JAMIIFORUMS nimeandika uzi huu kuulizia au kujua bati imara na nikampunigani ya kuzalisha bati hapa nchini ina toa bati imara na inayodumu kwa muda mrefu bila kupauka.

Kumekuwepo utitiri wa viwanda vingi, hofu ni kwamba uzalishaji wake katika bidhaa zao ni wa mashaka.

Mfano; kuna kampuni moja niliwahi kufanya nao biashara pc kama 200 nilicholetewa zile zilikuwa siyo bati ni karatasi aisee nilijuta kufanya biashara na wale jamaa pamoja na kwamba walitoa kiwandani ila uchakachuaji ni levo nyingine huenda wamesomea kufanya vitu chini ya kiwango.

Kwa mafundi na wataalamu wa mabati kampuni ipi inazalisha bati nzuri na kwa bei ya kawaida, maan sisi wengine siyo tunaunga unga ndio maana nikasema bei rafiki ili niimudu kwa bajeti yangu niliyonayo.

Nahitaji bati 108 nyeupe G30 kwenye kazi hii
ALAF bado hana mpinzani, ushauri wangu nunua moja kwa moja kiwandani au tafuta wakala muaminifu umpe hela kidogo ya chai akuchukulie mzigo kwa jina lake ambapo wao wanapewaga discount kubwa kwa kuwa wanaenda kufanya biashara. Kwa msaada zaidi usisite kuja PM
 
ALAF bado hana mpinzani, ushauri wangu nunua moja kwa moja kiwandani au tafuta wakala muaminifu umpe hela kidogo ya chai akuchukulie mzigo kwa jina lake ambapo wao wanapewaga discount kubwa kwa kuwa wanaenda kufanya biashara. Kwa msaada zaidi usisite kuja PM
Asante kwa ushauri ndugu
 
Hatarini za majukumu wana JAMIIFORUMS nimeandika uzi huu kuulizia au kujua bati imara na nikampunigani ya kuzalisha bati hapa nchini ina toa bati imara na inayodumu kwa muda mrefu bila kupauka.

Kumekuwepo utitiri wa viwanda vingi, hofu ni kwamba uzalishaji wake katika bidhaa zao ni wa mashaka.

Mfano; kuna kampuni moja niliwahi kufanya nao biashara pc kama 200 nilicholetewa zile zilikuwa siyo bati ni karatasi aisee nilijuta kufanya biashara na wale jamaa pamoja na kwamba walitoa kiwandani ila uchakachuaji ni levo nyingine huenda wamesomea kufanya vitu chini ya kiwango.

Kwa mafundi na wataalamu wa mabati kampuni ipi inazalisha bati nzuri na kwa bei ya kawaida, maan sisi wengine siyo tunaunga unga ndio maana nikasema bei rafiki ili niimudu kwa bajeti yangu niliyonayo.

Nahitaji bati 108 nyeupe G30 kwenye kazi hii
Njoo nikuuzie Bati. Ya kiboko kwa bei ya 22000
 
Hatarini za majukumu wana JAMIIFORUMS nimeandika uzi huu kuulizia au kujua bati imara na nikampunigani ya kuzalisha bati hapa nchini ina toa bati imara na inayodumu kwa muda mrefu bila kupauka.

Kumekuwepo utitiri wa viwanda vingi, hofu ni kwamba uzalishaji wake katika bidhaa zao ni wa mashaka.

Mfano; kuna kampuni moja niliwahi kufanya nao biashara pc kama 200 nilicholetewa zile zilikuwa siyo bati ni karatasi aisee nilijuta kufanya biashara na wale jamaa pamoja na kwamba walitoa kiwandani ila uchakachuaji ni levo nyingine huenda wamesomea kufanya vitu chini ya kiwango.

Kwa mafundi na wataalamu wa mabati kampuni ipi inazalisha bati nzuri na kwa bei ya kawaida, maan sisi wengine siyo tunaunga unga ndio maana nikasema bei rafiki ili niimudu kwa bajeti yangu niliyonayo.

Nahitaji bati 108 nyeupe G30 kwenye kazi hii
Tafuta Uzi humu" Elimu juu ya Mabati"
 
ALAF bado hana mpinzani, ushauri wangu nunua moja kwa moja kiwandani au tafuta wakala muaminifu umpe hela kidogo ya chai akuchukulie mzigo kwa jina lake ambapo wao wanapewaga discount kubwa kwa kuwa wanaenda kufanya biashara. Kwa msaada zaidi usisite kuja PM
Ubora wa ALAF uko kwenye Rangi tu. Other factors hawazidiniani hata nukta.

IMG_20240820_120036.jpg


Same House span of 4yrs
 
Hatarini za majukumu wana JAMIIFORUMS nimeandika uzi huu kuulizia au kujua bati imara na nikampunigani ya kuzalisha bati hapa nchini ina toa bati imara na inayodumu kwa muda mrefu bila kupauka.

Kumekuwepo utitiri wa viwanda vingi, hofu ni kwamba uzalishaji wake katika bidhaa zao ni wa mashaka.

Mfano; kuna kampuni moja niliwahi kufanya nao biashara pc kama 200 nilicholetewa zile zilikuwa siyo bati ni karatasi aisee nilijuta kufanya biashara na wale jamaa pamoja na kwamba walitoa kiwandani ila uchakachuaji ni levo nyingine huenda wamesomea kufanya vitu chini ya kiwango.

Kwa mafundi na wataalamu wa mabati kampuni ipi inazalisha bati nzuri na kwa bei ya kawaida, maan sisi wengine siyo tunaunga unga ndio maana nikasema bei rafiki ili niimudu kwa bajeti yangu niliyonayo.

Nahitaji bati 108 nyeupe G30 kwenye kazi hii
ALAF simba dumu nitakuuzia 22000
N.B mimi ni wakala
 
Back
Top Bottom