Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 530
- 1,446
Hatarini za majukumu wana JAMIIFORUMS nimeandika uzi huu kuulizia au kujua bati imara na nikampunigani ya kuzalisha bati hapa nchini ina toa bati imara na inayodumu kwa muda mrefu bila kupauka.
Kumekuwepo utitiri wa viwanda vingi, hofu ni kwamba uzalishaji wake katika bidhaa zao ni wa mashaka.
Mfano; kuna kampuni moja niliwahi kufanya nao biashara pc kama 200 nilicholetewa zile zilikuwa siyo bati ni karatasi aisee nilijuta kufanya biashara na wale jamaa pamoja na kwamba walitoa kiwandani ila uchakachuaji ni levo nyingine huenda wamesomea kufanya vitu chini ya kiwango.
Kwa mafundi na wataalamu wa mabati kampuni ipi inazalisha bati nzuri na kwa bei ya kawaida, maan sisi wengine siyo tunaunga unga ndio maana nikasema bei rafiki ili niimudu kwa bajeti yangu niliyonayo.
Nahitaji bati 108 nyeupe G30 kwenye kazi hii
Kumekuwepo utitiri wa viwanda vingi, hofu ni kwamba uzalishaji wake katika bidhaa zao ni wa mashaka.
Mfano; kuna kampuni moja niliwahi kufanya nao biashara pc kama 200 nilicholetewa zile zilikuwa siyo bati ni karatasi aisee nilijuta kufanya biashara na wale jamaa pamoja na kwamba walitoa kiwandani ila uchakachuaji ni levo nyingine huenda wamesomea kufanya vitu chini ya kiwango.
Kwa mafundi na wataalamu wa mabati kampuni ipi inazalisha bati nzuri na kwa bei ya kawaida, maan sisi wengine siyo tunaunga unga ndio maana nikasema bei rafiki ili niimudu kwa bajeti yangu niliyonayo.
Nahitaji bati 108 nyeupe G30 kwenye kazi hii