INAUZWA Bei za CCTV cameras kwa mfumo wa seti

INAUZWA Bei za CCTV cameras kwa mfumo wa seti

Najua unauliza swali hili kwa mtego nami nakupa majibu yafuatayo
1.Seti zangu natumia camera za Dahua 1080p na HIKVISION 1080p zote zikiwa colorvue iwe ya sauti au normal bei yangu ya installation ni moja.

2.DVR natumia 1080p ya DAHUA pekee because iko na smart view, simple to use kwa wateja wangu, better maintenance na HD camera appearance bila shida yoyote [emoji817]

3.Natumia camera zenye quality ya 1080p, zooming up to 3.8mm,iwapo mteja akitaka kubadili nafunga 5mp zooming up to 13.8mm

4.Seti ya camera 8 naweka 2tb hard disk kwa ajili ya kupata taarifa za muda mrefu.

BADO UNA SWALI MR RASTA?
Naomba kukuuliza hizi zinarekodi au mpaka uwe na wifi?
 
Unasajili laini na kuweka bando then unaweka laini kwa router,yenyewe automatic itagawa wi-fi kwenda kwa DVR
Ina maana bila wifi hazifanyi kazi?
Embu nieleweshe hapo.
Ninaweza kuwa mteja wako.
 
Tuko KAHAMA TOWN mpaka tarehe 17 mei,kwa yeyote anayehitaji huduma asisite kuwasiliana nasi kwa namba 0742737142 au 0624066848. Wale waliopo TINDE,SHINYANGA,TABORA na MWANZA tunafika bila shida wasiliana nasi sasa tukupe huduma ya

Cctv camera Installation
Electric fence installation
Gate motor installation
Attendance machine installation View attachment 2622725View attachment 2622726
IMG_20230515_115938_491.jpg


Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom