mzee msoko
Senior Member
- Jan 30, 2020
- 113
- 220
- Thread starter
-
- #121
Mzigo wa kwanza umefika ila una IP CAMERA,ANALOG CAMERA, BIOMETRIC ATTENDANCE na HIDDEN za analog pia. Soon mzigo mwingine unaingia feedback utaipata hapahapa mkuuMzigo mpya umewasili tayari?
Tuanzie hapa kwanza mkuu,swali lako linalenga kufahamu juu ya connection ya kupata access ya camera zako kupitia simu ama nimequote vibaya swali lako?Hiyo router Inatumia Mfumo Gani Kuunganisha Mawasiliano Na Simu,
Wifi au Internet au Inakuwaje Naomba Maelezo Boss
Camera ziko brand tatu (4)Hizi camera, router, etc, ni brand gani?
Quality stuff👍🏾Camera ziko brand tatu (4)
1.DAHUA
2.HIKVISION
3.MERCURY
4.AXIS
Zote zikiwa ni COLORVUE na mega pixel kuanzia 2 mpaka 8mp
Router zinazotumika ni
1.TP-LINK
2.D-LINK
3.NETGEAR
4.DAHUA
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Naam mkuu hizo ni waterproof na zinahimili jua na mvua vizuri tuHizi bulb camera ni waterproof? Unaweza kufunga nje zikapigwa na jua na mvua?
Naomba kuuliza CCTV camera HDD Ina uwezo wa kutunza taarfa Kwa Dak ,Mwezi au masaa mangapi?Habari za wakati huu,leo nimewaletea bei ya seti upande wa CCTV camera kuanzia 4 mpaka 16.
NB: Kila seti imebeba vifaa vyote vinavyohitajika kukamilisha mfumo wa CCTV ikiwemo na Monitor ndani yake bila kusahau access ya INTERNET kwa wale watakaohitaji. Bei zinazoonekana hapo chini ni pamoja na INSTALLATION (UFUNDI)
Tuwasiliane kupitia 0742737142 au 0624066848
View attachment 2575536View attachment 2575538View attachment 2575539View attachment 2575542View attachment 2575540View attachment 2575541View attachment 2575544View attachment 2575546View attachment 2575545View attachment 2575547View attachment 2575548
HDD zinatofautiana kuendana na muhusika anahitaji atunze matukio yake kwa muda gani,mfano WIKI,MWEZI,MWAKA vyote vinawezekana.Naomba kuuliza CCTV camera HDD Ina uwezo wa kutunza taarfa Kwa Dak ,Mwezi au masaa mangapi?
Pili CCTV camera zinazima baada ya mda gani au kunawezatokea hitilafu zikajizima zenyewe?
Je umeme ukikatika zitaendelea kuchukua tukio?
Ni Kwa wakati gani zinazima au utawasha through out years???
Balbu zenye kamera inayokuwa pekee yake unauzaje ? Je mzigo kwasasa unao ?HDD zinatofautiana kuendana na muhusika anahitaji atunze matukio yake kwa muda gani,mfano WIKI,MWEZI,MWAKA vyote vinawezekana.
Pili, CCTV camera zinafanya kazi 24hrs,kuzima kwake ni mpaka kuwe na shida ya umeme kwenye power supply inayopeleka moto kwenye camera.
Mwisho, umeme ukikata camera zitasimama kwa muda kusubiri urejee tena lakini mteja anatakiwa awe na option ya kufunga POWER BACKUP kwa ajili ya kumsaidia wakati umeme umekata anakuwa na uwezo wa kuzifanya camera zake zirekodi kama kawaida wakati ambapo anasubiri umeme urejee. Pia unaweza kufunga mfumo wa SOLAR kwa ajili ya kuoperate camera ili kuepusha kukosa matukio endapo umeme unakuwa hakuna.
Camera zinarekodi All days kutokea siku uliyofanya installation,hazina muda maalumu wa kurekodi labda tu itokee break down ya power na balloon video tampering.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Zilizopo kwa sasa ni WI-FI bulb pekee,hizo zingine soon zitakuwepo. Ntakutag mkuuBalbu zenye kamera inayokuwa pekee yake unauzaje ? Je mzigo kwasasa unao ?
Samahani , .naomba kuelezewa hapa hizo Wi-Fi bulb zinaoperate vipiZilizopo kwa sasa ni WI-FI bulb pekee,hizo zingine soon zitakuwepo. Ntakutag mkuu
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app