Bei za vifurushi kupanda huku waziri mwenye dhamana akikenua meno kwa furaha ni matusi mazito kwa waTanzania

Nimekuelewa mkuu
 
Huyo Waziri ni mnafki sana Jiwe alimshtukia akamtosa sijui Sa100 ametokana naye wapi!
Watz smart wapo kibao kumsadia Mama namshangaa anambeba huyu mwenye akili ya kawaida tuu!.
Hewa ingine ni Jenistaa Mhaagama eti naye waziri!.
 
Ananunua mwenyewe kwa fedha anazopewa na Serikali.
Labda tuseme hivyo jinsi allowance za mawasiliano zinavyotumika, kuweza kununua wenyewe ama kughairi na fedha hizo kuzifanyia matumizi mengine.

Maana yake ni kwamba, allowance hizo huingiziwa moja kwa moja kwenye account za mishahara yao, sasa hapo atasema kanunua kifurushi cha bando kwa hela yake?
Hela yake kwa sababu imepitia kwenye account yake siyo?
Aache kudanganya watu na kuona ni wajinga.
 
Huyo Waziri ni mnafki sana Jiwe alimshtukia akamtosa sijui Sa100 ametokana naye wapi!
Watz smart wapo kibao kumsadia Mama namshangaa anambeba huyu mwenye akili ya kawaida tuu!.
Hewa ingine ni Jenistaa Mhaagama eti naye waziri!.
Na alionyesha nia yake ovu kwa nchi pale alipopigia debe mradi wa bwawa la kufua umeme Rufiji usitishwe ati kupisha uchunguzi wa mazingira

 
Tutamkumbuka sana mwamba kiukweli.

Yule mzee kweli alikuwa anawapigania watz
 
Airtel wamepunguza tena bundle la internet la 2000 toka Mb 985 hadi Mb 970, shit!
 
Nyie watanzania ni mambumbumbu sana hivi mnajua bundles ni ofa,wao wanatakiwa wakuuzie we we vocha tu uweke utumie kama mwanzo mitandao ilivyoanza, sasa unajua maana ya ofa, ofa kupata au kunyimwa huna uhalali wa kudai.
 
Nyie watanzania ni mambumbumbu sana hivi mnajua bundles ni ofa,wao wanatakiwa wakuuzie we we vocha tu uweke utumie kama mwanzo mitandao ilivyoanza, sasa unajua maana ya ofa, ofa kupata au kunyimwa huna uhalali wa kudai.
Offer au isiwe offer, ni kwamba unalipa pesa na unapata huduma, gharama ya huduma imepanda.., na inapandishwa kila siku wakati bei ya mafuta imeshuka, na wanapandisha kwa kuambizana kitendo ambacho ni kinyume na kanuni za FCC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…