Anayo HOJA,Umeielewa mada lakini jombi? Hoja hapa ni kuwa hatimaye Ruto, Gachagua na genge lao wamesalimu amri. Kushughulikia hoja ya ugumu wa maisha bei ya vyakula inashuka.
Kwani wewe unaandika kwa mada ipi jombi?
Kitakachoshusha bei sio maneno ya Wanasiasa Bali uzalishaji kuongezeka..
Kumbuka hawakupandisha wao Bali forces za supply vs demand
Noted brazaj , hii ni akili kubwaMIXOLOGIST kuna mjumbe anakukumbusha kuna sababu umeisahau huku
Anayo HOJA,
Ukisema itashuka chini ya 2000 ya Tz, ulipasa kueleza ilipanda Kwa kiasi Gani Hadi ije ishuke.
Ongeza minofu kama hutojali.
Tatizo hauelewi concept nzima ya ukaguzi wa hesabu na hapo huyo kipanya ndiyo thinking tank yako au role model wako, bado tuna safari ndefu sana. Educate yourself kwenye some of these aspects before coming out stupid publiclyInafika huku?
View attachment 2588571
Acha kujidhalilisha ndugu.
Kwamba hujishangai, wewe ni wa kuhurumia.
Hao wapinzani Wana ghala la mahindi mpaka wapange Bei ya unga!?Ninakazia: tatizo letu ni kuwa mtanzania ni mjuaji mno!
Tatizo hauelewi concept nzima ya ukaguzi wa hesabu na hapo huyo kipanya ndiyo thinking tank yako au role model wako, bado tuna safari ndefu sana. Educate yourself kwenye some of these aspects before coming out stupid publicly
Hizo zote ni allegations, mwizi anathibitishwa na mahakama, up your game brotherSiongelei ukaguzi. Naongelea wizi. Wizi kama haudhibitiwi uzalishaji upi usaidie nini?
View attachment 2588591
Watu wanakula kama nzige.
Kwamba waingie nzige kwenye shamba lako uamue uwaache wale wakishiba wataondoka?
"Watashiba vipi nzige ndugu kama wanakula huku wakijisaidia (wakati huo huo)?"
Hao wapinzani Wana ghala la mahindi mpaka wapange Bei ya unga!?
Pesa za compaign za uchaguzi Unadhani Huwa zinatoka wapi?Tatizo hauelewi concept nzima ya ukaguzi wa hesabu na hapo huyo kipanya ndiyo thinking tank yako au role model wako, bado tuna safari ndefu sana. Educate yourself kwenye some of these aspects before coming out stupid publicly
Hizi ni speculations and assumptionsPesa za compaign za uchaguzi Unadhani Huwa zinatoka wapi?
Mkapa ktk kitabu chake amekiri kuiba billions Kwa ajili ya kufinance uchaguzi CCM na zilionekana ktk Ripoti za CAG kama mapungufu hayo hayo unayoita concepts za ukaguzi wa hesabu.
Na kama unaamini Si wizi, kwann chama Cha mambuzi hakikubali kupokezana na upinzani madaraka Ili wananchi wawapime CAPACITY Yao kiutendaji ktk kusimamia raslimali na pesa za Umma?
It is a theory km huna Mfano wa sera iliyotufikisha hapaSasa serikali ipo kwa manufaa gani kiongozi?
Kwa kukusaidia tu government policies sa zingine ndio zinazoamua nguvu ya soko iweje. Hiyo ni commerce form two
Hizo zote ni allegations, mwizi anathibitishwa na mahakama, up your game brother
Kwamba Mwizi akiiba na akaficha pesa na ushahidi,kwako huyo Si MWIZI?Hizo zote ni allegations, mwizi anathibitishwa na mahakama, up your game brother
Mkapa aliandika kitabu Kwa assumptions?Hizi ni speculations and assumptions
Wanapoteza hela nyingi kwa watu kufunga biashara kupisha maandamano,,watalii wana acha kutembelea nchi yao, badala ya kwenda kulima, nguvu kazi iko barabarani inapambana na polisi. Yule mzee ni li jinga sana
wameanza kuvuna. hao wapinzani wapuuzi tu hawana ajenda wala hoja ya maanaKufuatia maandamano ya kizalendo Kenya, serikali ya huko, imeamua kushusha bei za vyakula.
View attachment 2588177
Upinzani unataka bei ya unga kwa kilo isizidi 2,000/- za kitanzania, vinginevyo wanarudi Tahrir.
Unga prices to drop from next week, President Ruto pledges
Hakuna mahali popote Kenya (au kwingine) wanakodai kuwa hizi ni harakati za wajaluo au kuwa hata ni za kikabila, isipokuwa Tanzania. Maana kamili ya kuwa mtanzania ni mjuaji mno!
"Hivi pilipili usisozila zinakuwasha nini?"
Wakenya wana matatizo Yao wanayoyatambua. Kwamba ni yao na kuwa hawana mjomba wala shangazi wa kuwatatulia.
Wanajua mfumbuzi wa matatizo yao ni wao wenyewe. Hawatafuti visingizio, mchawi wala kujaribu kuyakimbia. Wanajua matatizo hukabiliwa, tena kwa vitendo si kwa maneno.
"Maneno matupu hayavunji mfupa."
Inafahamika kuwa hata huko walamba asali, wahuni na hata vijana wa hovyo wapo. Kwamba yaliyoko kwetu na kwao yapo. Hata hivyo ujasiri wa viongozi wao wenye misimamo isiyotetereka ni jambo la kupigiwa mfano sana.
Kushuka kwa bei za bidhaa muhimu Kenya ni kwa manufaa ya wakenya wote.
"Liko kama mtego wa panya wenye kunasa waliomo na wasiokuwamo."
Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir.
Huu ndiyo ulio ukweli mchungu. Mengine yote ni manjonjo tu.
Ila mwenye hoja maana mtanzania wewe ukiwa hapo Nanjilinji na bado hujishangai.wameanza kuvuna. hao wapinzani wapuuzi tu hawana ajenda wala hoja ya maana