Mkapa aliandika kitabu Kwa assumptions?
Kwenda shule ni jambo moja, KUELIMIKA ni jambo jingine.
Maskini anapelekwa shule na Kijiji Ili akielimika arudi kuisaidia JAMII yake kutatua matatizo, matokeo yake anarudi na kiingereza kingi na dharau Kwa walomtuma KAZI na matokeo chanya yasionekane.
Mwizi atabaki kuwa Mwizi tu hata kama anaendeshwa ndani ya V8!!
nanjilinji ndiyo niniIla mwenye hoja maana mtanzania wewe ukiwa hapo Nanjilinji na bado hujishangai.
"Maana kamili ya kuwa mtanzania ni mjuaji mno!"
Kama wewe kwenye mada, wazi wazi mliangaziwa.
Walaji hatuko tayari kuchukua hatua, kwa hiyo tuendelee kuumia wenyewe
Sijui kwanini bado tuna tofautiana mpaka leo, mimi bado naamini, tatizo letu sio viongozi wa kuhamasisha, tatizo letu ni watanzania na uoga wao.
Nilishakuwekea mifano kadhaa, ule wa Lissu aliosema akiibiwa kura atawaambia wafuasi wake waandamane, mbona mwishowe hakuna kilichotokea licha ya Lissu kuibiwa...
Mfano wa pili ni huo ulioleta kwenye mada, kwamba kama bei za juu za vyakula zinatuumiza kwanini bado tumelala ndani mpaka tuamshwe na viongozi? ni uoga wetu tu.
Ukondoo wetu unasababisha viongozi hata kama wakiongea bado tunajifungia ndani, tena tukitishwa na kina Mambosasa ndio tunajifunika mashuka kabisa, tofauti na wakenya ambao wakitishwa wanasema wako tayari kuonja tear gas ya 2023!.
Naamini huo ujasiri hawajafundishwa na Raila, uko ndani ya nafsi zao.
Unaongelea Kenya ipi Kaka?Serikali ni referee
Huyo wala hajielewi, wala haelewi kinachoendelea Kenya zaidi ya kuokoteza story tu
Heri vilaza kuliko mbuziWatoto hawa ni vilaza sana
Hata humu JF watu wengi sana hunasa kwenye mitego kama ya kina johnthebaptist ambao hueneza Propaganda kwamba wenye jukumu la kuwafanya watanzania kuandamana ni CHADEMA. Kwa ivo likitokea jambo watu hudhani wanaotakiwa kuandamana ni CHADEMA ama CHADEMA ndiyo wanaotakiwa kuhamasisha maandamano.Naamini huo ujasiri hawajafundishwa na Raila, uko ndani ya nafsi zao.
Kwanza jifundisheni kusoma hoja, na kutotoka nje ya hoja, mleta mada ameleta hoja kwamba Kenya wapo vizuri wameshusha bei ya Unga akilinganisha na Tanzania, ila ukiangalia kwa jicho la upana zaidi kenya vitu ni Ghali kuliko kwetu na hata hio bei wanayoitaka ni sawa na kwetu ama ni ghali bado ukilinganisha na kwetu.
Nguvu ya uma inaweza leta mabadiliko, kujibu swali lako
Ufahamu kwanza huu mfumuko ni External factors kupanda kwa bei ya Mafuta na sababu nyengine zifananiazo
1. Serikali ilitoa ruzuku, hii ruzuku ilitoka kwenye mapato ya ndani, walikuwa na uwezo wa kutoa ruzuku zaidi hata 500 kwa kila lita ila kutokana na umasikini wa Nchi yetu na sisi pia tusingeweza kulipa Mishahara.
2. Unapolipa mishahara pia unapunguza Ukali wa maisha, vaa viatu vya Mkenya hajalipwa mshahara na vitu vimepanda bei.
Hata humu JF watu wengi sana hunasa kwenye mitego kama ya kina johnthebaptist ambao hueneza Propaganda kwamba wenye jukumu la kuwafanya watanzania kuandamana ni CHADEMA. Kwa ivo likitokea jambo watu hudhani wanaotakiwa kuandamana ni CHADEMA ama CHADEMA ndiyo wanaotakiwa kuhamasisha maandamano.
Mtu kaajiriwa na kwa miaka mitano hajapandishwa daraja au mshahara, anataka nani aandamane kwa niaba yake? Magari ya Umma yanabwagwa mitaani kama takataka na mwisho wa siku wakubwa wanauziana, watanzania wanataka nani aandamane?
Ripoti za CAG kila mwaka zinaonesha ni kwa kiasi gani ndani ya serikali kuna wizi na ubadhirifu uliotukuka, wabongo wanasubiri viongozi wa upinzani ndiyo waandamane!! Hoja yako hapa si kwamba hakuna viongozi wa kuhamasisha maandamano bali watanzania wenyewe ndiyo WAOGA!!
Eti brazaj ndiyo anataka watu kama nyie mratibiwe kuandamana. Muelezee aelewe kwamba nyinyi watanzania si watu wa kupenda maandamano dhidi ya serikali hata kama hiyo serikali iwatendee jambo gani baya.Kwaiyo we unataka tufanye nini Tuandamane aza wewe kwanza na baba ako kisha wengine tutafuata
Halafu brazaj huo mfano wako wa LIz Truss unaourudiarudia unamaanisha nini? Yeye alitoka kwa kuwa ilionekana ndani ya chama chake watu hawamuungi mkono kwa mambo yake ya kibajeti. Unataka kusema hapa CCM wambane Majaaliwa ama Samia hadi wajiuzulu!!??
Wala sioni kama ni suala la kuoneana aibu au vinginevyo, kwangu naona tatizo lipo kwetu na ndio maana wengine husema wacha kina Mbowe walambe asali, wameshahangaikia sana watu wasiojitambua badala yake hakuna walichoambulia zaidi ya kufungwa jela wao binafsi.Raila Kenya kama yeye hana njaa ila kawahamasisha watu vilivyo na akatokea nao pamoja na wenziwe kuandamana.
Raila katokea kutangaza maandamano yanasimama na yakasimama kweli.
"Mbona hakuna mkenya hata mmoja anaandamana tena bila Raila kuridhia, kama kumbe watu hao wako kwenye maandamano kila mmojw kivyake vyake?"
Watu hawa wamehamasishwa vilivyo na wako organized. Hizo ni kazi za viongozi Sasa za viongozi wa vyama vyenye kupigania haki. Viongozi wakishindwa kuzifanya kazi zao hizo zikiwamo kama ndivyo tunavyotaka, watupishe au tuwafurushe madarakani tuweke wengine wenye nia na uwezo huo.
Uongozi si fursa. Uongozi ni wajibu.
Tukubaliane unaingia madarakani kutuhamasisha na kutuongoza kudai haki zetu. Huwezi hayo kaa pembeni. Tatizo liko wapi? Wenye uwezo huo mbona wapo wengi wa kumwaga?
Tuacheni utamaduni huu kuangaliana usoni. Hautusaidii na hautatuvusha. Ukombozi wa nchi hii ni muhimu zaidi kuliko mtu yeyote.
Huu ndiyo ulio ukweli mchungu.
Cc: Zawadini
Matamko ya kisiasa hufuatiwa na mikakati ya kiuchumi kukabiliana na tatizo linalowafanya watu kuandamana.Hivi bei za bidhaa zinawekwa na nguvu ya soko (market forces) au matamko ya kisiasa?
TZ imeliwa na kubakia nusu. Tupambani wapigaji wasimalize mkate wetu.Kwamba wewe huoni kuwa:
View attachment 2588190
haya yanaathiri vipi bei za vitu?
Kwani wewe ni mhuni, mlamba asali au ni wale vijana wa hovyo?
Eti brazaj ndiyo anataka watu kama nyie mratibiwe kuandamana. Muelezee aelewe kwamba nyinyi watanzania si watu wa kupenda maandamano dhidi ya serikali hata kama hiyo serikali iwatendee jambo gani baya.