Beijing: China yaiwekea vikwazo kampuni ya utengenezaji wa chips ya Marekani (Micron)

Beijing: China yaiwekea vikwazo kampuni ya utengenezaji wa chips ya Marekani (Micron)

Hahha ndugu mimi najua mpaka kuziprogram microcontrollers, achiliambali diodes unazozisoma ukiwa form one

Najua kudesign electronics project, najua kutumia software za electronics kama proteus, multism, eagle CAD najua kuandaa PCB circuit board najua kufanya troubleshoot na kurekebisha fault after kufanya testing ya PCB board.

Hapa electronics imelala sio digital wala analogue
Mpaka wewe kutoka Namtumbo umeweza iweje China ambayo sera za nchi ni uchumi wa kiteknolojia?

Nimekueleza Law of physics ni zile zile tu.
Also hatuongelei programming of microcontroller we are talking about making them.

Mimi mtoto wangu ana programming microcontroller.

Hakuna kipya ulichoandika hapa.
 
Unapokuwa unataja hizo top whatever, be remunded that kote huko kyna uwekezaji mkubwa sana wa US, pia wanapata support kubwa sana kutoka kwake including China.
Kuna wakati unatakiwa kuwa makini sana unaposhindanisha US Vs China.
Kwani pasipokujua unaweza ukajikuta unashindanisha US Vs US
Wewe nenda huko. Usitudanganye.
Nakupatia makampuni machache tu:-

1. Alibaba Group
2. Tencent Holdings
3. Baidu, Inc.
4. Xiaomi Corporation
5. JD.com
6. Huawei Technologies Co., Ltd.
7. ByteDance
8. Didi Chuxing
9. Meituan Dianping
10. ZTE Corporation
11. NetEase
12. Weibo Corporation
13. Kingsoft Corporation
14. iQiyi
15. Ctrip (Trip.com Group)
 
Kwa nini walienda kuwekeza China na sio kwao au mataifa mengine? Ukipata jibu njoo tudiscuss sasa kwa fact

Anakwambia US kafanya uwekezaji mkubwa China wakati hapo almost 80% ya viwanda vya China vinamilikiwa na Serikali. Wao wanafikiri makampuni yao yakitoka China, bhs uchumi wa China utakufa hio ndo furaha yao.

Ukiwauliza kwanini Makampuni yao yanakimbilia China? hana la kukujibu, hawa watoto wa US unapoteza muda, wanauchukulia uchumi juu juu sana.
 
Watengenezaji
Kama zaidi ya 30% ya wauzaji wa simu duniani wanauza simu za wachina huo ubora unaousema ubora gani?
1684907745595.png
 
Bingwa wa kutengeneza hizo chips na micro ni Taiwan ndio walio na technologia yaa maana sio China, na kwa sababu hiyo ndio maana China wanawaonea wivu, yeye kupiga marufuku haina impact yoyote kwa US as long as zipo nchi bingwa duniani kama Taiwan zinazalisha na ndio DNA yao., ni vile China hajielewi tu
Naomba unitofautishie mchina na mtaiwan kimuonekano na uwezo wa kufikiri ?

Kumbuka 95% za watu wanaoishi Taiwan ni Han
 
Makampuni mengi ya electronics yanayomilikwia na wachina wenyewe na mataifa mengine saivi yanahamia mexico, India na Vietnam

Mizozo na vita vya kiuchumia havina faida kwa China hata kidogo, Hasara ni kubwa mno. Soko Kubwa la China lipo Europe na USA ambako anazidi kupavuruga kila siku kwa sera mbovu na kuvunja international laws.

Kwasasahivi migogoro ya kubana pesa za watu benki, watu kukatwa pensheni zao, unemployment China ni mingi na inazidi kukuwa siku baada ya siku. Migomo na reaction za watu zipo ila ni za chinichini

Decoupling ikichanganya utaona migomo na maandamano itakavyoshamiri. Taifa lenye watu zaidi ya Bilion 1 halafu kuwe na changamoto tu za ajira mkuu sio jambo dogo.
Mkuu umedadavua kisomi
 
US ana uwezo wa kutohitaji kitu chochote kutoka Asia ama kuwaekea vikwazo nchi zote za Asia na akapeta kwenye uchumi wake na maisha yake sio hao china waliopewa technologia na hao hao US., China kujaribu kueka kikwazo kwa US ni kama kujitekenya mwenyeo tu
Uwezo wako wa kufikiri na kuelezea mambo unatia mashaka sana.
 
Makampuni mengi ya China yana agiza chips zenye ubora zaidi upande wa simu kutoka makampuni ya nje.
Sasa unaendelea kuhamisha magoli tu nitazidi kukupiga misumali tu.

ZTE Corporation, a Chinese multinational telecommunications equipment and systems company, has a global presence and its products are used in numerous countries around the world. ZTE operates in over 160 countries and regions, providing telecommunications infrastructure, networking equipment, and consumer electronics.

Some of the countries where ZTE products are used include:

1. China (ZTE's home market)
2. United States
3. Germany
4. United Kingdom
5. France
6. Italy
7. Spain
8. Brazil
9. Russia
10. India
11. Australia
12. South Africa
13. Saudi Arabia
14. United Arab Emirates
15. Mexico

This is not an exhaustive list, and ZTE products can be found in many other countries as well. ZTE has a significant presence in both developed and emerging markets, offering a range of telecommunications solutions and devices.
 
Anakwambia US kafanya uwekezaji mkubwa China wakati hapo almost 80% ya viwanda vya China vinamilikiwa na Serikali. Wao wanafikiri makampuni yao yakitoka China, bhs uchumi wa China utakufa hio ndo furaha yao.

Ukiwauliza kwanini Makampuni yao yanakimbilia China? hana la kukujibu, hawa watoto wa US unapoteza muda, wanauchukulia uchumi juu juu sana.
Hawa watu wa namna hii hawana uelewa kuhusu uchumi, teknolojia na siasa zinavo fanya kazi sipendi sana kujadiliana nao.
 
Bingwa wa kutengeneza hizo chips na micro ni Taiwan ndio walio na technologia yaa maana sio China, na kwa sababu hiyo ndio maana China wanawaonea wivu, yeye kupiga marufuku haina impact yoyote kwa US as long as zipo nchi bingwa duniani kama Taiwan zinazalisha na ndio DNA yao., ni vile China hajielewi tu
Haina impact? Hivi unaelewa maana ya kampuni kupoteza robo ya mapato? Au hauna idea na masuala ya biashara?
 
Makampuni mengi ya electronics yanayomilikwia na wachina wenyewe na mataifa mengine saivi yanahamia mexico, India na Vietnam

Mizozo na vita vya kiuchumia havina faida kwa China hata kidogo, Hasara ni kubwa mno. Soko Kubwa la China lipo Europe na USA ambako anazidi kupavuruga kila siku kwa sera mbovu na kuvunja international laws.

Kwasasahivi migogoro ya kubana pesa za watu benki, watu kukatwa pensheni zao, unemployment China ni mingi na inazidi kukuwa siku baada ya siku. Migomo na reaction za watu zipo ila ni za chinichini

Decoupling ikichanganya utaona migomo na maandamano itakavyoshamiri. Taifa lenye watu zaidi ya Bilion 1 halafu kuwe na changamoto tu za ajira mkuu sio jambo dogo.
Hayo ni mawazo yako, Marekani na ulaya wanaihitaji china Sana,na ndio wanaofanya biashara kubwa duniani, Kumbuka kuwa kwasasa china ni unstoppable ni manufacturing hub ya dunia.
 
Hapa tunaongea kwa facts sio propaganda

Tencent Holdings, a leading technology conglomerate from China, offers a wide range of products and services across various sectors. Tencent's products and platforms have gained popularity globally. While it may be challenging to provide an exhaustive list, here are some countries where Tencent products are used:

1. China (Tencent's home market)
2. United States
3. India
4. Thailand
5. Malaysia
6. Indonesia
7. South Korea
8. Japan
9. Singapore
10. Philippines
11. Brazil
12. Russia
13. United Kingdom
14. Germany
15. France

These are just a few examples, and Tencent's products and services have a global reach with users in many other countries as well. Tencent is known for its diverse offerings, including social media platforms (such as WeChat and QQ), gaming platforms (like Tencent Games), entertainment services, fintech services, and more.
 
Wewe unaandika upumbavu gani? Unajua kampuni zilizochina zinamake profit kias gani? Unafikiri anayeumia ni China au west??. Nasubir apple watoke China afu tuone kama iphone zitazagaa bongo. Apple wenyewe wanakwambia wamepiga faida kutoka China unafikir easy sana.

China na Russia production cost ziko low sana ndomana unaona makampuni yao yana ya kimbilia huko. Wameshindwa Russia wataweza China??

Marekani anawaingiza chaka wenzie, yeye mwenyewe anataka kuapproval Debt ceiling hali ni mbaya huko, dollar ishakua shida kila kona.
China ni Moja ya masoko muhimu ya marekani
 
True Kuna watu wanadhani china ikiwa super power basi ndio itakuwa poa. Nataka nikwambie hakuna Taifa duniani linasheria mbaya kuhusu wanadam kama China. Taifa linalo kula kitu sitaki kiamini watu hawali... Taifa linavuna viungo vya watu sitaki kuamini Kuna utu na ubinadam. China inaongoza kwa kwa kunyonga na mbaya kuliko yote hawana dini inayoitwa Ukristo au uwisilam. Nimeshanga sana Iran kusema wao ndio wapatanishi while waislam wanajuwa Habari ya china.
Swala sio china kuwa super ,hatutaki taifa Moja kuendesha mataifa mengine na kulazimisha tamaduni ZAO mfano ushoga na usagaji
 
Sasa unaendelea kuhamisha magoli tu nitazidi kukupiga misumali tu.

ZTE Corporation, a Chinese multinational telecommunications equipment and systems company, has a global presence and its products are used in numerous countries around the world. ZTE operates in over 160 countries and regions, providing telecommunications infrastructure, networking equipment, and consumer electronics.

Some of the countries where ZTE products are used include:

1. China (ZTE's home market)
2. United States
3. Germany
4. United Kingdom
5. France
6. Italy
7. Spain
8. Brazil
9. Russia
10. India
11. Australia
12. South Africa
13. Saudi Arabia
14. United Arab Emirates
15. Mexico

This is not an exhaustive list, and ZTE products can be found in many other countries as well. ZTE has a significant presence in both developed and emerging markets, offering a range of telecommunications solutions and devices.
Umekua mgumu kuelewa. Makampuni ya simu ya China ni chips gani bora zinaweka kwenye simu na zina toka wapi ?
 
Kuweka vikwazo kwa chips za Marekani is good for nothing sana sana watakaoumia ni wao wenyenyew china kukosa huduma kwa watu wao tokea vile wao wanashindwa kuzalisha, Taiwan ndo washakukoroga kwisha habari yao wataendelea kutengeneza baiskeli na vyerahani vya kushonea nguo
Mchina akizuia kitu ujue tayari ashaanza kukitengeneza
 
Back
Top Bottom