uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Kuweka vikwazo kwa chips za Marekani is good for nothing sana sana watakaoumia ni wao wenyenyew china kukosa huduma kwa watu wao tokea vile wao wanashindwa kuzalisha, Taiwan ndo washakukoroga kwisha habari yao wataendelea kutengeneza baiskeli na vyerahani vya kushonea nguo
Kwa hiyo Mchina wa Tandahimba unajua risky za wachina kuliko wao.