Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Nimeona hilo jeraha la mgu mtandaoni,mguu umeathirika sana,alikuwa anapata matibabu wapi? maana nimesikia Muhimbili alipelekwa jana!...Daah,Pole nyingi kwa wafiwa.Msiba umetokea Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu, Majeraha ya mguu .
Acha ujingaKafa akiwa anaiwadai GSM pesa za kuvaa nembo yao. Familia ifuatilie haki yake. Nawakilisha.
Msiba umetokea Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu, Majeraha ya mguu .
Mguu uliharibika sana mpaka anafika muhimbilia alikuwa hoi.Duh!
Yaani majeraha ya mguu ndio yachukue uhai wa mtu?
Labda alikuwa na kisukari au kansa !!!
Wanadai alikuwa akipata tiba asili .Nimeona hilo jeraha la mgu mtandaoni,mguu umeathirika sana,alikuwa anapata matibabu wapi? maana nimesikia Muhimbili alipelekwa jana!...Daah,Pole nyingi kwa wafiwa.
Daah! Huwa nachokaga Mkuu hivi mtu anapopost picha ya namna hii anakuwa ana lengo gani?
Hapa kuna jambo la kujiuliza vizuri. Hii taarifa iko nusunusu. Hili liwekwe sawa ili tupate pa kuanzia husani suala la usalama na uhai wa wachezajiDuh!
Yaani majeraha ya mguu ndio yachukue uhai wa mtu?
Labda alikuwa na kisukari au kansa !!!