Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majeraha kayapata alipocheza na Makolo fc, aisee makolo wamempiga misumali mtoto wa watuAlikua na majeraha nahisi kifundo cha mguu hamna taarifa rasmi ya chanzo cha kifo chake r.i.p kitasaa
Ndio tena kayapata alipocheza na Makolo akavimba mguu...hii misumali amepigwa na makoloMajeraha ya Mguu yamepelekea Kifo?
R.I.P Ally Sonso..
Hospitalini kapelekwa baada ya mambo kushindikana kabisa kule kwenye tiba mbadala.Nimeona hilo jeraha la mgu mtandaoni,mguu umeathirika sana,alikuwa anapata matibabu wapi? maana nimesikia Muhimbili alipelekwa jana!...Daah,Pole nyingi kwa wafiwa.
Muhimbili kaenda ili kuondoa aibu ya kufia mahala, kabla ya hapo alikuwa kwa wafumu, mpaka pale hali ilipobadilika.Duh!
Yaani majeraha ya mguu ndio yachukue uhai wa mtu?
Labda alikuwa na kisukari au kansa !!!
Kabisa mkuu.Naona wajanja washa pita na mtu wao
AiseeNoooma sana binadamu ccView attachment 2116517
Angekua hai angekujibu unatuchosha bure na maswali magumuKwa mguu huu lazima kuna kitu alifanya. Uenda alitembea na mke wa Mpemba. Hawa watu sio kabisa. Sidhani kama ni mpira tu. Ama alikuwa na kansa. RI.I.P SONSO
.
sorry mkuuDaah! Huwa nachokaga Mkuu hivi mtu anapopost picha ya namna hii anakuwa ana lengo gani?
Apumzike kwa amaniBeki wa KMC, Ally Sonso amefariki dunia leo katika Hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na jeraha la mguu.
Marehemu enzi za uhai wake aliwahi kuchezea timu za Yanga, Lipuli, Kagera Sugar na Ruvu Shooting.
View attachment 2116314
Huyu anazingua jini kivipi?Noooma sana binadamu ccView attachment 2116517