Everyone one in this world has a price...wee unachotakiwa ni kuigikia na kuipita buly far.Unaweza kuwa na hela lakini muuzaji akagoma kukuuzia, Ni kama Simba tu wanavyomhitaji Feitoto lakini Azam hawataki kumuuza.Swala la kuuza linategemea uamuzi wa muuzaji zaidi kuliko mnunuzi
Contract za wachezaji ni buyout clause kwa mfano kama fei iwe 1 billion wee njoo na 1.5 billion uone kama kesho tuu mtu hajatua msimbazi anapiga danadana na ugoko akimfurahisha Kalpana