Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Ifike wakati dunia iwe denuclearized..., Sio Marekani, Israel wala Pakistan..., Haya mambo ya kumwambia Korea au Iran wasiwe nazo wakati wewe unazo ni hatari kwa dunia...
Zote zipigwe chini, this weapons will be humanity downfall down the line..., sio kwa kuamua hata kwa bahati mbaya...
Zote zipigwe chini, this weapons will be humanity downfall down the line..., sio kwa kuamua hata kwa bahati mbaya...