2hery
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,700
- 4,625
Aya imeshuka kutoka wapi?Hakika Mwenyezi Mungu mwingi wa kusamehe kwa wale watakao rudi kwake. Mwenye kutoa hukumu ni Maulana pekee
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya imeshuka kutoka wapi?Hakika Mwenyezi Mungu mwingi wa kusamehe kwa wale watakao rudi kwake. Mwenye kutoa hukumu ni Maulana pekee
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Ndo nani?Washaachana. na Analisa kwa sasa yupo anadate na mtoto wa Peter Keneth....
RashidAmepewa jina gani au na yeye ni chidi?
Kuna sehemu nimeandika aya hapo😳Aya imeshuka kutoka wapi?
[emoji23][emoji23]Anaenda kumpigia kampeni Askofu Rashid
How????Vizuri kwa kuukimbia ukafiri.
Marioo suguAnatafuta sababu ya kuoa wake wanne huyo
Kabadili kabila toka Mgogo kuwa mwarabu ila ngozi imebaki nyeusi
Peponi Waislamu wameahidiwa mito inayotiririka pombe,na kuingiliana kimwili, huku wanaume wakiahidiwa kupewa mabinti bikira 60 na nguvu za kiume x100. Nadhani hicho ndicho kilichomvutia.Quran 47:15Hajui alichokifanya huyu jamaa, ukijitoa kwenye uislamu kitabu chao kinasema unastahili kuuliwa, dini upuuzi sana, aliyetunga hivi vitabu alituvuruga sana akili
Mfalme tu amerudi kuipbad taarabuHuyu kakutana na masharti mazito, hiyo yote ili apewe uroda tu wa kiislam