Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri kwa kuukimbia ukafiri.
Mwisho daima huwa sio mwema ankoMimi mwenyewe nitabadili mapenzi yakikolea [emoji28][emoji28]
Imamu shoga aliyejitangaza wazi na mwenye waumin wengi zaidi USA
Wataka kuwafahamu wengine yakhee?View attachment 1610110
Ben Paul amefanya la maana sana.Makafiri ni wale waliovamia Mtwara na kuua watu.
Vipi hamida ushajipatia bwana wa kukupakata?Kafiri wa kwanza ni Muhammad (S.A.W) unataka kuujua ukafiri wake?
Sema suu
Na mito inayotiririka pombeAmeona asije kukosa zike bikira 72 za kule peponi
Bado wapo pamoja?Anerlisa ni mkatoliki hivyo kama kabadili dini si kwa ajili ya mkewe.
Hahaaaa [emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji38]Kabadili kabila toka Mgogo kuwa mwarabu ila ngozi imebaki nyeusi
Nilikuwa natania ndio maana nikacheka wanasema mapenzi ni upofu anko lakini upofu huu hauwezi nifanya nikabadili dini. Mungu anisaidie katika hili aisehMwisho daima huwa sio mwema anko
Sentensi ya mwisho umekosea sana, Mungu yupoWaislamu hua wananiacha hoi, yaani dini yao ni kama bidhaa, kutumia watu maarufu na wasanii kuitangaza.
Waislamu hutumia nguvu kubwa sana na pesa nyingi kumshawishi mtu maarufu asilimu ili iwape mileage ya kidini, utafikiri wanatangaza bidhaa.
Hua najiuliza kwani kwenye dini yao moyo wa msanii una thamani kubwa sana kwa allah wao kuliko mtu asie maarufu ama msanii, mbona wanatumia nguvu nyingi sana kushawishi watu maarufu kuslimu?
By the way Mungu au kitu kinaitwa Mungu hakipo.
Au pale unaporuka tope na kukanyaga mavi[emoji1787][emoji1787]Pale unapotoka kwenye moto na kukimbilia kwenye mafuriko
Sioni Kipanga akirudi [emoji23][emoji23]Na wewe nikikujibu, kwanini nataka kujua ITAKUSAIDIA NN?