Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakristo wananishangaza Sana wanatumia nguvu kubwa sana na pesa nyingi kuaminisha watu kwamba waislamu ni magaidi....Waislamu hua wananiacha hoi, yaani dini yao ni kama bidhaa, kutumia watu maarufu na wasanii kuitangaza.
Waislamu hutumia nguvu kubwa sana na pesa nyingi kumshawishi mtu maarufu asilimu ili iwape mileage ya kidini, utafikiri wanatangaza bidhaa.
Hua najiuliza kwani kwenye dini yao moyo wa msanii una thamani kubwa sana kwa allah wao kuliko mtu asie maarufu ama msanii, mbona wanatumia nguvu nyingi sana kushawishi watu maarufu kuslimu?
By the way Mungu au kitu kinaitwa Mungu hakipo.
Mimi mwenyewe nitabadili mapenzi yakikolea [emoji28][emoji28]
Unafahamu kwamba Mafalme wa mswati ana wake zaidi ya wanne...Hali ya kuwa yeye si muislamuAnatafuta sababu ya kuoa wake wanne huyo
Demu wake mkristo mbonaPower of pussy
Ni mstari gani huo mkuu hebu tuwekee hapaHajui alichokifanya huyu jamaa, ukijitoa kwenye uislamu kitabu chao kinasema unastahili kuuliwa, dini upuuzi sana, aliyetunga hivi vitabu alituvuruga sana akili
Ugaidi na uislamu ni mate na ulimi kwa sababu matendo ya kigaidi yameandikwa kwenye Quran na ni sunah kwa muumini wa kiislamu kutekeleza hayo matendo.Wakristo wananishangaza Sana wanatumia nguvu kubwa sana na pesa nyingi kuaminisha watu kwamba waislamu ni magaidi....
Uku nyuma ya pazia wana mikakati yao kama...papa kuhararisha ushoga,kuunda makundi ya kiharifu,kupora mafuta Kwenye nchi za watu,kuuwa binadamu bila hatia n.k
By the way,sisi ni wa Mungu na kwake tutarejea.
Umemuona wapi?Sentensi ya mwisho umekosea sana, Mungu yupo
Napinga hoja yako kwa 100% hakuna muislam anaewalazimisha wasanii kubadili dini kama una ushahidi tuwekee hapa mkuu. Watu wanabadili kwa mapenzi yao hata ambao si wasanii wapo wanabadili na kufuata uislam.Waislamu hua wananiacha hoi, yaani dini yao ni kama bidhaa, kutumia watu maarufu na wasanii kuitangaza.
Waislamu hutumia nguvu kubwa sana na pesa nyingi kumshawishi mtu maarufu asilimu ili iwape mileage ya kidini, utafikiri wanatangaza bidhaa.
Hua najiuliza kwani kwenye dini yao moyo wa msanii una thamani kubwa sana kwa allah wao kuliko mtu asie maarufu ama msanii, mbona wanatumia nguvu nyingi sana kushawishi watu maarufu kuslimu?
By the way Mungu au kitu kinaitwa Mungu hakipo.
Ushahidi uko wazi. Mtu akisilimu tu kua muislamu utaona matangazo yake, nina ushahidi wengine hua wanaahidiwa hela na kuahidiwa mikataba na taasisi za kiislamu kwa wanaemlenga.Napinga hoja yako kwa 100% hakuna muislam anaewalazimisha wasanii kubadili dini kama una ushahidi tuwekee hapa mkuu. Watu wanabadili kwa mapenzi yao hata ambao si wasanii wapo wanabadili na kufuata uislam.
Uzushi na uongo mtupu hakuna kitu kama halafu mimi sioni tatizo mtu kubadili dini hata angetaka kuwa rasta au hindu yupo huru kwanini ionekane kuingia uislam ni kosa? Nadhani mnachuki tu iliyojificha dhidi ya waislam.Ushahidi uko wazi. Mtu akisilimu tu kua muislamu utaona matangazo yake, nina ushahidi wengine hua wanaahidiwa hela na kuahidiwa mikataba na taasisi za kiislamu kwa wanaemlenga.
😂😂😂Anatafuta sababu ya kuoa wake wanne huyo
Kuingia uislamu sio kosa, kosa na ushamba ni matangazo mnayowapa wanaokua waislamu, kwani sisi tuna haja gani kujua kama kawa muislamu, lakini waislamu hua mnawatumia watu kama hao kutafta au kuhalalisha dini yenu ionekane ni ya maana kisa flani kasilimu. Kwamba msipotangaza haitaonekana kama ni dini ya maana?Uzushi na uongo mtupu.hakuna kitu kama halafu mimi sioni tatizo mtu kubadili dini hata angetaka kuwa rasta au hindu yupo huru kwanini ionekane kuingia uislam ni kosa? Nadhani mnachuki tu iliyojificha dhidi ya waislam.
Nasikia wameachanaBado wapo pamoja?
Labda nikuulize swali habari ya BEN PAUL kusilimu umekutaaa kwenye vyanzo vingapi vya habari vya KIISLAMU? Na subiriii jibu ili niendeleeWaislamu hua wananiacha hoi, yaani dini yao ni kama bidhaa, kutumia watu maarufu na wasanii kuitangaza.
Waislamu hutumia nguvu kubwa sana na pesa nyingi kumshawishi mtu maarufu asilimu ili iwape mileage ya kidini, utafikiri wanatangaza bidhaa.
Hua najiuliza kwani kwenye dini yao moyo wa msanii una thamani kubwa sana kwa allah wao kuliko mtu asie maarufu ama msanii, mbona wanatumia nguvu nyingi sana kushawishi watu maarufu kuslimu?
By the way Mungu au kitu kinaitwa Mungu hakipo.
Wewe ndio mjingaaa, kitendo cha kuingilia, maamuzi ya mtu ambaye umlishi wala humvishi, huo ndio ujinga mkubwa, muhimu BEN PAUL hajavunja, katiba ya Nchi, Yuko sahihiHe is STUPID!
Ulikuwepo wakati anapewaaa, masharti mazito au unapiga ramli?Huyu kakutana na masharti mazito, hiyo yote ili apewe uroda tu wa kiislam