mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Mungu hawezi kusulubiwa na viumbe vyake
ila anaweza kukasirika kwa kukasirishwa na biumbe vyake!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu hawezi kusulubiwa na viumbe vyake
Ninavomjua kitimoto hawezi kuachaWafia misalaba MNA umia sana jamaa kuiona haki na kuifuata.....
Yah najua anahamu ya kupulizwa matakoniMaashaaAllah, Allah amuongoze zaidi katika dini hii ya kweli na ya haki.
Duh wameachana tena na wamefunga ndoa juzi juzi tu!Washaachana. na Anerlisa kwa sasa yupo anadate na mtoto wa Peter Keneth....
Ataweza wapi, mwenzake mzee yusuph alifanya hivyo yakamshinda..Moto uko palepale tu ukiendelea kuimba bongo flava labda uimbe kaswida
ila anaweza kukasirika kwa kukasirishwa na biumbe vyake!!!!
Ndio mungu ana hasira na mkali wa kuadhibu.ila pia ni mpole na msamehevu kwa waja wake.zote hizo NI sifa zake.
Ila hyo ya kuuliwa msalabani SIO SIFA YAKE..
Niumieje??ili iweje??!nakuelekeza tu na habari iliyopo mitandao kwa sasa kumbe ilikuwa kikiMkuu mbona kama umeumia sana,
Kweli umeumia, pole sanaNiumieje??ili iweje??!nakuelekeza tu na habari iliyopo mitandao kwa sasa kumbe ilikuwa kiki
Ndio kishabadili dini yatawatoka sana, ati serikali imuangalia [emoji849][emoji849][emoji849]Hawa wanaobadili dini huwa wepesi sana kudanganywa ili kujitoa mhanga. Afadhali hata wale waislam og. Huyu serikali imuangalie kwa karibu asije akajilipua au kujiunga na alishaaba kama yule dogo wa ngorika
Utata unaanzia hapo, Muumba anasulubiwa na muumbwa [emoji3][emoji3]Mungu hawezi kusulubiwa na viumbe vyake
Ilikuwa kiki hajabadili din ishu imegundulika ingia insta tafuta ukurasa huu michambo na udaku wambea wameeleza na data wametoaNdio kishabadili dini yatawatoka sana, ati serikali imuangalia [emoji849][emoji849][emoji849]
Kitu kama hukijui kitakusumbua sana tuachie sisi wakristo tunajua vizuri tunachofanya mbona yenu mengi hatuyajadili???Utata unaanzia hapo, Muumba anasulubiwa na muumbwa [emoji3][emoji3]
Na haya ndio ya kiumbe binadamu akiamua kutishughulisha ubongo wake kuchanganua haki na batili na kuuficha ujinga wake ni msiba mkubwa kwa kweli.Kitu kama hukijui kitakusumbua sana tuachie sisi wakristo tunajua vizuri tunachofanya mbona yenu mengi hatuyajadili???
Hivi huko mpaka watoe cheti? Au ndio akifa kusiwe na kugombaniana maiti?Karibu kwenye njia ya hakiView attachment 1609952
Hili neno nalisikia sana. Haki Haki Haki. Haki ipi hiyo inayopatikana kwenye dini yenu? Haki hiihii wanayosema wanaigombania akina Lissu na Ponda? Au kuna nyingine?Kaifata haki na si kingine
Level yako IPO chini sana tuachie imani yetu.endelea kukomaa na ule mzimu wa kiarabuUtata unaanzia hapo, Muumba anasulubiwa na muumbwa [emoji3][emoji3]