Sasa nini kinafanya ndoa kidumu?Bado hujakua kimtizamo hata kiumri,
hivyo vitu havifanyi ndoa kudumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nini kinafanya ndoa kidumu?Bado hujakua kimtizamo hata kiumri,
hivyo vitu havifanyi ndoa kudumu
Pandisha uzi utajibiwa kwa ufasaha na wakubwa zakoSasa nini kinafanya ndoa kidumu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora Ben angalau
Mimi nilisilimu ili niwe mwislamu kama mwaija wangu ,cha ajabu eti nikapokonywa na salumu mokoroboi..!
😂😂😂😂😂😂Bora Ben angalau
Mimi nilisilimu ili niwe mwislamu kama mwaija wangu ,cha ajabu eti nikapokonywa na salumu mokoroboi..!
Walifunga kanisani? Mbn sielewi au Mimi ndy nipo nyuma ya wakati
Si nilisikia benpol kabadili Dini kawa muislamu na na huyo mkewe wamefunga ndoa ya kiislamu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Labda alitaka kuongeza mkeHuyu jamaa si alisilimu na kuwa ustaadh?au zilikuwa kiki tu.
Kitu Ben asichojuwa ni kuwa sheria imebadilika na uwenda asiambulie ata chupi ya mkewe... EndKama Ben kaandikiwa urithi ana nafuu...lakini kumbuka yule binti zile mali sio zake ni za familia yake
Kwa sheria za bongo, mke au mume anaweza kudai talaka kama ana sababu zinazo kubalika kwa mujibu wa sheriaKwani kati ya benpol na anerlisa nani kamuoa mwenzie?!..na nani mwenye mamlaka kisheria ya kutoa talaka kati ya mwanamke na mwanamne?!
Na una bahati ingekua imetokea kipindi cha ukubwani na amekupotezea muda wako mrefu ingekua shida sana, ila kujifunza kwa kuumia ni vizuri zaidiMi nilushawakia kitambo sana. Nilikuwa na demu Shule ya msingi Mnazi Moja Dar es Salaam hapohapo. Tukaamua you twende together St. Anthony's Mbagala. Kilichofanyika huwezi amini. Nimebwagwa mazima kwasababu kakutana jamaa yuko High level halafu anapiga basketball kama Michael Jordan. Kilichorndelea mimi niliamua kujificha kwenye vitabu kwa miaka minne. To make the story short, since that time, the only woman I trust is my mother. I never get married, and not going to marry anybody. I'm doing it big and those who put me on a shame Lane while I was a little boy, I thank them so much, because without them I could not make this big