Wanawake wenye pesa wanatumika sana na mapepo na majini mahaba sio rahisi kuishi na mwanaumeDemu anaonekana ana kiu ya kuwekwa ndani ila kimuonekano wake Ni km chini hana maajabu, wanawake wenye pesa wengi wana bahati mbaya na mapenzi
We mtoto sana, bado akili yako haijakomaa.Inategemea nini tena wakati sababu kuu ya kuoana ni kugegedana?
Kama hela ipo sasa shoda iko wapi maana visababishi viwili vikuu vya ndoa kuvunjika ni ukosefu wa hivyo vitu
Hawajachuma hata mimba? Au Ben ana nyota ya Bashite tumkimbize China?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Demu anaonekana ana kiu ya kuwekwa ndani ila kimuonekano wake Ni km chini hana maajabu, wanawake wenye pesa wengi wana bahati mbaya na mapenzi
Wenye macho ya tatu wamenielewa, 😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti chini hana maajabu..jamani
Nimekuelewa sana yani..[emoji1787][emoji1787]Wenye macho ya tatu wamenielewa, [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Isije ikawa sababu ni yeye hana korodani, au bibie hana kiharage...
Talaka za wanandoa wa siku hizi zina visa sana...
Na mie nashangaa hapa lolWalifunga kanisani? Mbn sielewi au Mimi ndy nipo nyuma ya wakati
Si nilisikia benpol kabadili Dini kawa muislamu na na huyo mkewe wamefunga ndoa ya kiislamu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda alibadili dini baada ya kuoa...
Bibie akawa anampakulia kitimoto kwa siri mpaka aliposhtuka kuona pua ya kitimoto kwenye mchuzi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuoa mwanamke kutoka kwenye familia ya kitajiri Ni kazi sana. Ni sawa wewe ndo unakuwa kama umeolewa
Yaan wanadamu sijui mkoje khaaaahBen paul ni shoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Demu anaonekana ana kiu ya kuwekwa ndani ila kimuonekano wake Ni km chini hana maajabu, wanawake wenye pesa wengi wana bahati mbaya na mapenzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee kiboko, eti hata was 16 yrs.Kama Ni ishu ya kunipeleka leba hata miaka 16 anaweza kunipeleka, nimeuliza hivyo sababu unaona pesa tena za mwanamke na tako ndo vigezo vya ndoa kudumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora Ben angalau
Mimi nilisilimu ili niwe mwislamu kama mwaija wangu ,cha ajabu eti nikapokonywa na salumu mokoroboi..!
Mali si zile wamepata wakiwa pamoja Witty?Huyu ni marioo wa taifa...yaan alifata mali kabisa, na malaywer wamemdanganya atapata pasu, subiri ajiinee maajabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu ni marioo wa taifa...yaan alifata mali kabisa, na malaywer wamemdanganya atapata pasu, subiri ajiinee maajabu